Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
- Thread starter
- #61
yah man.....mama mwambenja ndio alikuwa source....mkuu yule mama ana dharau sana kwa ngozi nyeusi.....Mkuu katika benki TZ ambazo hata kama una masters unatumwa ukapikie wahindi chai ni EXM
kapigwa chini kama sijakosea.....sina hakika..kuna HR pale mwanaume chapombe ni mlevi wa kupindukia na mwomba rushwa zote ya ukimwi na hela
...nasomea u HR mkuu....vishori vikali mnoo siku hizi