Mama Mwambenja wa Exim is OUT

Yule jamaa ametolewa pale HR alikuwa akidai 700,000-1,000,000 kwa kazi moja kwa kila mtu. Management ilikuwa haijui ilipokuja kujua wakamtimua. Tanzania tuna safari ndefu sana.

Wamemtoa lini yule mla rushwa...mbona like 3 wks ago alikuwepo? jina lake la kwanza si M mimi nilimtolea nje mpumbafu kabisa. Na internally kama humpi hela ana kuhamishia mkoani.
 
Just thinking aloud!
I had(still have) the presumption that kuwa na MBA ni pamoja na kuwa na impeccable communication skills?

That wasn't the argument here, though if we were to go in academics it could surface, but I agree, that too is necessary..maybe I failed that..so bite me ! Eng Nsiande
 
I have known this lady since her days at NBC.
She is strong willed and can also make tough decisions, kwa wale wanaopenda laissez-faire, certainly she was a dissapointment to them.
Ningekuwa na mtaji wa kuanzisha benki, she is the type of person I would look for.
spell check in progress..
 
Wamemtoa lini yule mla rushwa...mbona like 3 wks ago alikuwepo? jina lake la kwanza si M mimi nilimtolea nje mpumbafu kabisa. Na internally kama humpi hela ana kuhamishia mkoani.

Ninachofahamu wamemtimua sasa kama umemuona wiki 3 zilizopita hilo jipya .
 
Jamani mpeni sifa zake Mama Mwambenja. Amefanya makubwa Exim. From a single small branch in Dar to various branches ndani na nje ya TZ. Ameondoka (whether kafukuzwa or not am not sure) lakini kaacha mambo mengi ya kukumbukwa kwenye Tanzania Bankers Association. Zaidi Exim watamkumbuka alivyowaachia Ghorofa lao jipya karibu na Min of Home Affairs. Kwanza kufanya kazi kwa mhindi kwenye position ya hela kwa miaka yote hiyo sio mchezo. BIG UP MAMA!
 
Shida ya watanzania majungu yamezidi sana.. Mtu kama alikuwa mchapakazi mpe sifa zake siyo kumchafulia..

Mama ameitoa bank hii wapi na sasa iko wapi??? Embu uliza midume yote iliyokuwa nbc na nmb imefanya nini hadi benki zikataifishwa???? Uliza midume ya benki ya posta iko wapi... Longo longo tupu.

Mwacheni na mumpe sifa zake huyu mama... Ni mfano mkubwa kwa wanawake na watanzania kwa ujumla...
 
Hivi nchi hii kuna mtu yoyote mwenye pesa au cheo ambaye siyo fisadi?

Watanzania tunahitaji kampeni ya kubadili mtazamo na kutofautisha kati ya Ufanisi na Ufisadi, Mafanikio na Wizi ... Hivi tunavyokwenda hata neno Ufisadi sasa linabadilishwa maana na ile yake halisi inafifia.

Kwa jinsi nisomavyo fikra, maoni na hukumu zetu dhidi ya wengine, mfano Mungu angekuwa anachaguliwa kwa zamu ya nchi na anaongoza dunia nzima. Inapofika mwisho wa kipindi chake anatoa hukumu kwa wakosefu toka nchi mbalimbali, basi natumaini baada ya zamu ya Tanzania kusingekuwepo na hata wa kumpokea kijiti huyo mungu. Dunia nzima ingehukumiwa kwenda motoni; hata mungu mtarajiwa. Kwa watanzania wa sasa, hakuna mwenye HAKI hata mmoja!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom