Mama mkwe wangu ana adabu kupitiliza

Mama mkwe wangu ana adabu kupitiliza

Ladies & gents
Salaam. Nimeoa mwska wapili sasa. Changamoto za ugonjwa zimepelekea tukae na mama mkwr nyumbani tumuuguze. Yspata muezi miwili sasa anatazamia afya yake hapa kwetu. Age yake haizidi 50 and I'm early 30s
Issues:
1. Ananiheshimu imefikia hatua ananiita baba kwa adabu mpaka naogopa.
2. Hawezi kukaa na mm hata kupiga stori zaidi ya salaam tu. Yaani hata namkuta anaagalia tv nikiingia tuu kutoka job anaingia chumbani mda huo huo.
3. Ikibidi tupishane koridoni huwa anageuza njia kabisa.
4. She keeps telling her daughter chakula lazima nianze kupew mm kwanza tena kile kizuri na kingi.
5. Huwa haniangalii usoni kabisa (japo hii inaweza isiwe adabu).
6. Ole mke wangu aniache sebuleni peke yangu lazima amtimue aje aongee na baba.
Kwakweli yako mengi huyu mama anayafanya mpka nimuone ana adabu iliyopitiliza.
Imefikia kipindi imebidi nibadili lifestyle. No more loud music no more dtink pombe at home. Halafu sasa mm ni muongeaji kishenzi so nilixpect mama mkwe akija badi idadi ya wakupiganao story itaongezeka.
Japo mi mama bora ila mwenzenu ananikwaza kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabila gani huyo mama na mimi nikaoe pande hizo mkuu!

Sikiliza Toka Kwangu!
 
Lakini hii ni kawaida chakula cha baba kunapakuliwa kwanza hata kama hayupo kinfunkikwa na cling film na kuweka kwenye microwave. Kama menu ni kuku baba anawekewa mapaja

Na katika hili la menu baba kuwekewa paja na nyama nyingi, wakati nipo mdogo nilikuwa nafanya timing ya kufa mtu. Siku za nyama nilikuwa silali mpaka mdingi arudi, na akirudi tuu lazima mezani tukae wote. Kinachofuata hapo ni 80% ya nyama nitakula mimi. Hahahaah, utoto raha sana.
 
Safi sana usiombe ukutane na wale wa uswazi, unapishana nae kafunga kanga kifuani anenda choo na kopo mkononi
 
Hongera una mamamkwe mzuri na mkeo atakuwa amelelewa vizuri huyo
 
hyo ndio adabu ya kiafrica!hata mm bibi yangu alikua hakai sbulen na baba akiwpo!hasa hsa wasukuma ndo wana mila za namna hyo!mie nawaza tu nikizeeka nitaishije kwa 'sanji'wangu!teh teh!maana nitakuwa bibi wa kisasa i thnk!lol!safi sana huyo bibi!
Mhh mbitiyaza
 
Mwite Mkweo sitting room mpige naye stories, akikubali kuja unaanzisha stories ambazo wewe unaziona muafaka mnabonga hadi mnaishiwa.
Waweza kufanya hivyo kisha ukaja juta kumbe alikuwa anakulia timing atoke vipi! bora abaki nae hivi hivi huu ushauri unaompa akiufuata anaweza kuja kufungua uzi mwingine hapa. Pana vitu kama vimelala vifunike na shuka kabisaaaaa.
 
Jamaa hana maana, yaani anakwazwa kwa kuheshimiwa na kutendewa Wema !
Ndo hapo sasa..inabidi angepata mam mkwe wa kizaramo au kama yule anayetuma msg usiku
 
Ladies & gents
Salaam. Nimeoa mwska wapili sasa. Changamoto za ugonjwa zimepelekea tukae na mama mkwr nyumbani tumuuguze. Yspata muezi miwili sasa anatazamia afya yake hapa kwetu. Age yake haizidi 50 and I'm early 30s
Issues:
1. Ananiheshimu imefikia hatua ananiita baba kwa adabu mpaka naogopa.
2. Hawezi kukaa na mm hata kupiga stori zaidi ya salaam tu. Yaani hata namkuta anaagalia tv nikiingia tuu kutoka job anaingia chumbani mda huo huo.
3. Ikibidi tupishane koridoni huwa anageuza njia kabisa.
4. She keeps telling her daughter chakula lazima nianze kupew mm kwanza tena kile kizuri na kingi.
5. Huwa haniangalii usoni kabisa (japo hii inaweza isiwe adabu).
6. Ole mke wangu aniache sebuleni peke yangu lazima amtimue aje aongee na baba.
Kwakweli yako mengi huyu mama anayafanya mpka nimuone ana adabu iliyopitiliza.
Imefikia kipindi imebidi nibadili lifestyle. No more loud music no more dtink pombe at home. Halafu sasa mm ni muongeaji kishenzi so nilixpect mama mkwe akija badi idadi ya wakupiganao story itaongezeka.
Japo mi mama bora ila mwenzenu ananikwaza kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
hata kabila la waganda na wahaya wakwe uwaheshimu sana waume wa watoto zao, ila si wa mama wa mji hawa, unakuta mama yupo na mkwe wake kakunja 4 na kimini juu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom