Mama mkwe wangu ana adabu kupitiliza

Mama mkwe wangu ana adabu kupitiliza

Nakumbuka wakati wife ni mjamzito aliniambia baba mwenzio akishajifungua utaona mambo yamebadilika atakuwa busy na mtt utaona kama ww hakujali inabidi uwe mvumilivu,namshukuru sana kwa yale maneno bila hivyo kipindi kile ningetembeza dudu sana uswahilini...kipindi kilikuwa kigumu sana
 
Duuuu[emoji38] [emoji38] hana adabu ila anamatatizo ya akili, aibu au woga, unaweza kuta ana dark sides ambazo huzielewi

By the way umesema anaumwa huenda ni ugonjwa ndo unamsumbua

Small minded people won't understand
 
Bab
Ingawa mm nimfuasi wa fikra za analojia...hili la chakula kwamba baba anatakiwa apate kile kizuri zaidi mfano mapaja ya kuku....hili kidogo naliepuka mara nyingi nimekuwa nikipakuliwa hivyo lakini lazima either nijifanye either tunabadilishana na wife au mara nyingi na watoto wangu
a anatakiwa Ashu be ili apate nguvu ya kumridhisha mama ili aongeze familia na pia nguvu za kufanya kazi na kuihudumia famila
 
Bab

a anatakiwa a shine ili apate nguvu ya kumridhisha mama ili aingezee familia na pia nguvu za kufanya kazi na kuihudumia famila
Ni kweli lakini kumbuka watoto wanatakiwa kukua na kiakili na kimwili sasa kama mzee kila siku wewe unakula gradeA watoto wanaambulia makinikia..mwisho wa siku IQ zinakuwa duni halafu unalaumu wakati wewe baba mwenyewe umechangia kiasi flani....
 
hyo ndio adabu ya kiafrica!hata mm bibi yangu alikua hakai sbulen na baba akiwpo!hasa hsa wasukuma ndo wana mila za namna hyo!mie nawaza tu nikizeeka nitaishije kwa 'sanji'wangu!teh teh!maana nitakuwa bibi wa kisasa i thnk!lol!safi sana huyo bibi!
Wasukuma hawana adabu yoyote, mama mkwe wa kisukuma ndio vyanzo vya ndoa za kisukuma kuvunjika.

Hachelewi kumshawishi mwanae kuachana na mme wake ili akapokee mahali na ngwekwe kwingine.

Hovyo kabisa wasukuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hiyo si ni kawaida kwa mama mkwe yeyote? Au ulitaka awe anakuchumu?
 
Mwite Mkweo sitting room mpige naye stories, akikubali kuja unaanzisha stories ambazo wewe unaziona muafaka mnabonga hadi mnaishiwa.

Ladies & gents
Salaam. Nimeoa mwska wapili sasa. Changamoto za ugonjwa zimepelekea tukae na mama mkwr nyumbani tumuuguze. Yspata muezi miwili sasa anatazamia afya yake hapa kwetu. Age yake haizidi 50 and I'm early 30s
Issues:
1. Ananiheshimu imefikia hatua ananiita baba kwa adabu mpaka naogopa.
2. Hawezi kukaa na mm hata kupiga stori zaidi ya salaam tu. Yaani hata namkuta anaagalia tv nikiingia tuu kutoka job anaingia chumbani mda huo huo.
3. Ikibidi tupishane koridoni huwa anageuza njia kabisa.
4. She keeps telling her daughter chakula lazima nianze kupew mm kwanza tena kile kizuri na kingi.
5. Huwa haniangalii usoni kabisa (japo hii inaweza isiwe adabu).
6. Ole mke wangu aniache sebuleni peke yangu lazima amtimue aje aongee na baba.
Kwakweli yako mengi huyu mama anayafanya mpka nimuone ana adabu iliyopitiliza.
Imefikia kipindi imebidi nibadili lifestyle. No more loud music no more dtink pombe at home. Halafu sasa mm ni muongeaji kishenzi so nilixpect mama mkwe akija badi idadi ya wakupiganao story itaongezeka.
Japo mi mama bora ila mwenzenu ananikwaza kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom