Sasa mm nilishawah kupata demu wa kinyalu. .nilimuacha kwa sababu kipindi chote cha mahusiano yetu..kwanza hujawah kunikosea, Kila kitu utakacho mweleza yy anakubali hata kama ni cha kumuumiza na kumkandamiza, hajawah kunionesha wivu hata nikiwa nimesimama na mwanamke ktk mkao wa kutilia shaka, nilishawah mtengenezea kisa nikampa kichapo cha kushangaza aliniomba msamaha yy na kila wakati ananiuliza kama nimemsamehe kweli..ukimuita wakati wowote anakuja bila kubisha. .hana tofauti na usafir wa [HASHTAG]#uber[/HASHTAG] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukitaka mzigo ndio balaa..muda wowote hata akiwa period anaogopa kakwambia akihofia utakasirika. .mmmh nilipoona hvy nikahisi mwenzangu atakuwa hana moyo bali anapumulia maini. .nikamuacha lakini bado ananiomba msamaha kama kuna kosa alinifanyia kipindi cha mahusiano yety
Sent using
Jamii Forums mobile app