luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,798
Kweli mama wakwe akiwemo mama yangu hawafanyi yafustayo
1. Kukaa ma mkwe sebleni yaan mkwe akiingia lazima mama mkwe arudi nyuma au anaweza kukaa mlango wa katikati wasalimiane na mkwe kama kuna maongezi ni hapo hapo afu mama mkwe anarudi nyuma.
2. Mama mkwe hawezi kula na mkwe hii kwetu haiwezekaniiii
3.mama mkwe hawezi kwenda hovyo hovyo kwa binti yake labda itokee ugongwa wa mda mrefu ambao utamlazimisha kwenda kuwasalimia. Au anaumwa amelazimika kufikia kwa binti yake.
4.arabarani akikutana na mkwe wake lazima asogee pembeni mkwe wasalimiane then apite
5.kwetu mkwe ana heshima yake kama anayopewa baba na heshima hiyo upewa na wana ukoo wote so long as kaoa kwenye ukoo/ familiya hiyo.
5. Maongezi sawa wanaongea inategemea wanaongea nn ila heshima ya mkwe iko pale pale
Mashemeji zangu wote wanapata heshima hawajuti kuoa kwetu.
Mleta mada hongera sio wengine wanapinga simu binti yake apewe mimba
1. Kukaa ma mkwe sebleni yaan mkwe akiingia lazima mama mkwe arudi nyuma au anaweza kukaa mlango wa katikati wasalimiane na mkwe kama kuna maongezi ni hapo hapo afu mama mkwe anarudi nyuma.
2. Mama mkwe hawezi kula na mkwe hii kwetu haiwezekaniiii
3.mama mkwe hawezi kwenda hovyo hovyo kwa binti yake labda itokee ugongwa wa mda mrefu ambao utamlazimisha kwenda kuwasalimia. Au anaumwa amelazimika kufikia kwa binti yake.
4.arabarani akikutana na mkwe wake lazima asogee pembeni mkwe wasalimiane then apite
5.kwetu mkwe ana heshima yake kama anayopewa baba na heshima hiyo upewa na wana ukoo wote so long as kaoa kwenye ukoo/ familiya hiyo.
5. Maongezi sawa wanaongea inategemea wanaongea nn ila heshima ya mkwe iko pale pale
Mashemeji zangu wote wanapata heshima hawajuti kuoa kwetu.
Mleta mada hongera sio wengine wanapinga simu binti yake apewe mimba