Mama mkwe wangu ana adabu kupitiliza

Mama mkwe wangu ana adabu kupitiliza

we acha tu mkuu,huo uzi upo hapa,sema siukumbuki vizuri
Ukikumbuka tukumbushane tu maisha haya ndiyo yametuzunguka, kuna mama alikuwa akienda kwa bintiye anakaa kibarazani huku katizama mlango wa choo na mkwewe akiingia hata ashituki fataki zinapigwa waala kama hayupo kuna siku walitukanywa na mwanaye mama mwenyewe sio mzee ni wakupewa mahitaji nakujipikia lakini hataki jamani kuna wakwe na vimbunga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukikumbuka tukumbushane tu maisha haya ndiyo yametuzunguka, kuna mama alikuwa akienda kwa bintiye anakaa kibarazani huku katizama mlango wa choo na mkwewe akiingia hata ashituki fataki zinapigwa waala kama hayupo kuna siku walitukanywa na mwanaye mama mwenyewe sio mzee ni wakupewa mahitaji nakujipikia lakini hataki jamani kuna wakwe na vimbunga

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna wakwe mitihani,vyumba viwili,mama mkwe anakuja kupumzika kwa mwanae aliyeolewa miezi 6,aisee usicheze na wadigo kabisa
 
kuna wakwe mitihani,vyumba viwili,mama mkwe anakuja kupumzika kwa mwanae aliyeolewa miezi 6,aisee usicheze na wadigo kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani kosa la watoto wao kwanini asimwambie ***** hali halisi lakini wanakuwa wote tabia moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndio adabu Mujjarab, mimi wanu tunapiga story namake jokes kidogo haza za kupitia kwa wanangu, mfano: anaweza niuliza ''baba'' mwambieni babayenu alete matumizi, yaani akimaanisha mwanangu wa kiume.... au kwa shemeji yangu atasema '' huyu mwenzenu , au atasema huyu mkeo anaumwaleo'' all in all mama mkwe wangu ananipenda sana, na mke wangu akisema anakwenda kwao bila sababu anatimuliwa na mama yake, na huwa hapendi kuomba pesa kabisa, na mwanae akipatia lazima mama anipigie simu kunishukuru sometimes nakua hata sijui kama alitumiwa naishia kuitikia tu ili kumlinda wife maana akijua sikujua anawasha moto kwa mwanae
 
Sasa mm nilishawah kupata demu wa kinyalu. .nilimuacha kwa sababu kipindi chote cha mahusiano yetu..kwanza hujawah kunikosea, Kila kitu utakacho mweleza yy anakubali hata kama ni cha kumuumiza na kumkandamiza, hajawah kunionesha wivu hata nikiwa nimesimama na mwanamke ktk mkao wa kutilia shaka, nilishawah mtengenezea kisa nikampa kichapo cha kushangaza aliniomba msamaha yy na kila wakati ananiuliza kama nimemsamehe kweli..ukimuita wakati wowote anakuja bila kubisha. .hana tofauti na usafir wa [HASHTAG]#uber[/HASHTAG] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukitaka mzigo ndio balaa..muda wowote hata akiwa period anaogopa kakwambia akihofia utakasirika. .mmmh nilipoona hvy nikahisi mwenzangu atakuwa hana moyo bali anapumulia maini. .nikamuacha lakini bado ananiomba msamaha kama kuna kosa alinifanyia kipindi cha mahusiano yety

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo alikuwa mnyalu feki. Wanyalu nafikiri ndo wanawake wanaoongoza kwa wivu. Ila mapenzi kweli wanayo wanapenda sana tatizo wivuuuu
 
Ingawa mm nimfuasi wa fikra za analojia...hili la chakula kwamba baba anatakiwa apate kile kizuri zaidi mfano mapaja ya kuku....hili kidogo naliepuka mara nyingi nimekuwa nikipakuliwa hivyo lakini lazima either nijifanye either tunabadilishana na wife au mara nyingi na watoto wangu
Unaogopa limbwata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom