Mama mkwe na mke wangu

Mama mkwe na mke wangu

Nashukuru kwa michango,
Nikiangalia saa saizi ni saa tatu na dk saba, ndo ametoka kuingia siyo muda mrefu , kutoka wapi? Kwa mama!!!!!,

Tulikubaliana anaenda kuna mgonjwa anaenda kumtazama pale home, ni kweli. tumewasiliana vzr hadi mida ya saa nane mchana, saa kumi na moja namchek hapatikani mama hapatikani mdogowake anapatikana akanipa niongee nae, ananambia umeme umekatika na simu hazikuwa na chaji, unaondoka saa ngapi, ooh mume wangu nitachelewa coz kuna tatizo mama kapata, aah mbona hukunambia mapema, aah kupitiwaaaa!! Kimasikhara kama tunataniana!! Na.siyo mara ya kwanza hii late coming kutoka home kwa mama!!! Huyu ni mke wangu!! Sasa kwann asimshauri kwamba mwambie mumeo kwamba kuna tatizo coz inaonekana halijatokea ghafla halafu siambiwi ni tatizo gani'!!

Wananiona mi ni easy taker au vp????!!!!

Aah Mamdenyi, ndo mnavoshauriana na mama zetu wakwe hivo!!!!!?

tayari mna mtoto? kama hamna labda ndo maana anaona bado hana majukumu ya kumfanya awahi kwake,lakini pia mama zetu wengine hawatujengi kabisa zaidi wanapumbaza hasa ukute ni wale wamama wenye watoto5 na baba zao idadi ileile
 
.....huwezi tenganisha binti na mama yake, wewe utabaki mume na yule atabaki kuwa mama yake.

Mie mwenyewe mtoto wa mama hata nikiuzika nikiongea na mama naona nafarijika na kuwa na furaha.

Huyo mkeo ana bond nzuri na mama yake. Kama unapata haki yako kama mume ya tosha, mwache mkeo afurahi na mama yake.
 
Kama hamshawishi chochote kibaya kuhusu ndoa yenu, siyo mbaya wakizoeana mama na mwana. Kibaya ni pale endapo akianza kuingia maisha yenu.
 
Mie sioni baya Hapo, wewe unasema wanaongea mara4 Kwa siku Mie naingia Na mamangu hata Mara 10 Kwa siku Na mkwewangu pia Lakini nafasi Ya mumewangu iko pale pale Na wala halalamiki, Sasa sijui sababu naongea Na mamake pia au mda wake yeye anaupata, chamsingi usijikere Huyo ni mama Na wewe Na mume kila mmoja ana haki Yake..
 
zaa hlf ujue huo ukaribu una maana gani?wivu tu unaokusumbua mtu kuwa karibu na mama yake ndo inakuaje kwani?umemnunua mzima mzima?hebu ondoa fikra potofu

Umeoa???? fikra zipi potofu?? Manaake 'inawezekana ww ndo unekuwa na fikra potofu ktk fikra zangu!!! Tulia, soma then ndo uongee
 
Lazima huyo mke ajue nafasi yake katika familia yenu. Kuongea na mama sio tatizo coz huyo anabaki kuwa mama yake siku zote. Ninachoona miaka hii ni kuwa ile hali ya mtu kusema nimeoa, huyu ni mke wangu na kuwa "mmiliki" wa mwanamke umepungua kwa kiasi kikubwa sana.

Wadada wengi wakiolewa hawawezi kutofautisha maisha kabla na wakati wa ndoa. Anatoka kazini, kila siku anapitia kwa wazazi then anaingia home saa tatu usiku. Niliwahi kuona hii kwenye nyumba moja, ikawa kero na kutokuelewana coz mke anatoka kazini sa11 lakini atapita kwao then saa tatu ndo anafika home kwake.
 
Mie sioni baya Hapo, wewe unasema wanaongea mara4 Kwa siku Mie naingia Na mamangu hata Mara 10 Kwa siku Na mkwewangu pia Lakini nafasi Ya mumewangu iko pale pale Na wala halalamiki, Sasa sijui sababu naongea Na mamake pia au mda wake yeye anaupata, chamsingi usijikere Huyo ni mama Na wewe Na mume kila mmoja ana haki Yake..


Mimi sidhani kama kupigiana simu ni ishu sana. Ishu hapa ni kuelewa na kutambua jinsi ya kuwapa wote mda wao. Kila kitu na wakati wake ba mahala pale.

Lakini pia, kadri mnavyoongea kila dakika ndivyo mnavyoshawishika kuambiana umbea ambao huenda hata mambo ya siri ya chumbani unamwambia mama, which is bad of course.
 
Nashukuru kwa michango,
Nikiangalia saa saizi ni saa tatu na dk saba, ndo ametoka kuingia siyo muda mrefu , kutoka wapi? Kwa mama!!!!!,

Tulikubaliana anaenda kuna mgonjwa anaenda kumtazama pale home, ni kweli. tumewasiliana vzr hadi mida ya saa nane mchana, saa kumi na moja namchek hapatikani mama hapatikani mdogowake anapatikana akanipa niongee nae, ananambia umeme umekatika na simu hazikuwa na chaji, unaondoka saa ngapi, ooh mume wangu nitachelewa coz kuna tatizo mama kapata, aah mbona hukunambia mapema, aah kupitiwaaaa!! Kimasikhara kama tunataniana!! Na.siyo mara ya kwanza hii late coming kutoka home kwa mama!!! Huyu ni mke wangu!! Sasa kwann asimshauri kwamba mwambie mumeo kwamba kuna tatizo coz inaonekana halijatokea ghafla halafu siambiwi ni tatizo gani'!!

Wananiona mi ni easy taker au vp????!!!!

Aah Mamdenyi, ndo mnavoshauriana na mama zetu wakwe hivo!!!!!?

.....hii kuingia ndani saa 3 usiku haipo sawa. Ila kuongea kwenye simu ni kawaida hata mara 10 sawa tu.

Labda anakuwa bored na wewe ndio maana anarudi late! Jitahidi kuwa romantic kwa mkeo.
 
Kama ukaribu huo ni mkubwa kiasi kwamba "mkeo kashikiwa akili" na mama mkwe ni hatari. Lakini kama ni ukaribu wa kawaida basi huo utafutie dawa, mfano kuhamia mbali na sehemu anayoishi mama mkwe, waweza "kumteka" mama mkwe ili awe upande wako kwa kujiweka karibu yake.
 
Kaka pole ila simu kupigiana mara 4 kidogo, nikikaa siku 3 sijamuona mama yangu nahisi kuugua.
 
kuwa mwanaume, kaa vizuri na mkeo na uishi nae kwa akili, pia try to talk to her and make her cloz to u,outing itasaidia
 
Pretty mimi naamini huyu mtu mpaka kulileta hili hapa kishakereka vya kutosha na details nyingi hakuziweka ili asijulikane kama ni yeye. Ongea na mkeo mkuu ili abadili japo kidogo mwenendo wake ili kuboresha ndoa yenu.

.....hii kuingia ndani saa 3 usiku haipo sawa. Ila kuongea kwenye simu ni kawaida hata mara 10 sawa tu.

Labda anakuwa bored na wewe ndio maana anarudi late! Jitahidi kuwa romantic kwa mkeo.
 
Last edited by a moderator:
Stahamili; binti yangu alipoolewa, na ilikuwa kaolewa nchi nyingine, basi mwaka wa mwanzo kutwa mara kumi simu, mara hiki mara kile, lakini alipojifunguwa tu simu zikakata, sasa hivi anaweza kukaa hata wiki mbili sijaongea nae.

Stahamili, mtoto wa kike mpaka a build sense of security kwako inachukuwa time. Na pengine hizo simu nyingi kwa mama'ke anataka ushauri tu wa kuishi vyema na wewe. Unafikiri kuna kigine kipi zaidi? Usiwe na hofu yatapunguwa kila muda unavyokwenda.

Ni kawaida sana, hususan kwa watoto wa kike walioishi na kukulia kwa mama zao mpaka wanaolewa.
 
Nashukuru kwa michango,
Nikiangalia saa saizi ni saa tatu na dk saba, ndo ametoka kuingia siyo muda mrefu , kutoka wapi? Kwa mama!!!!!,

Tulikubaliana anaenda kuna mgonjwa anaenda kumtazama pale home, ni kweli. tumewasiliana vzr hadi mida ya saa nane mchana, saa kumi na moja namchek hapatikani mama hapatikani mdogowake anapatikana akanipa niongee nae, ananambia umeme umekatika na simu hazikuwa na chaji, unaondoka saa ngapi, ooh mume wangu nitachelewa coz kuna tatizo mama kapata, aah mbona hukunambia mapema, aah kupitiwaaaa!! Kimasikhara kama tunataniana!! Na.siyo mara ya kwanza hii late coming kutoka home kwa mama!!! Huyu ni mke wangu!! Sasa kwann asimshauri kwamba mwambie mumeo kwamba kuna tatizo coz inaonekana halijatokea ghafla halafu siambiwi ni tatizo gani'!!

Wananiona mi ni easy taker au vp????!!!!

Aah Mamdenyi, ndo mnavoshauriana na mama zetu wakwe hivo!!!!!?

pole kaka, nlishaexperience maisha magumu yanayokukuta, ilikua ni wakati mgumu,
si mazuri na jitahdi kutatua..otherwise yatakukuta yalionikuta mdogo wako kw mke wangu niliemuoa mwanzo..
mama ndio chaka la maovu la mabinti aina kama iyo, wanawapenda wanawao kupindukia hadi kuwatetea kwnye uovu wao..
i guess uyo mkweo haishi na baba mkwe wako, au wapo mbali mbali.
kua makini sana, na jitahd kutatua.
pole sana kaka, naelewa machungu unayoyapata
 
zaa hlf ujue huo ukaribu una maana gani?wivu tu unaokusumbua mtu kuwa karibu na mama yake ndo inakuaje kwani?umemnunua mzima mzima?hebu ondoa fikra potofu

acha kaka, tumia busara, kwani uyo m.mke hajielewi kua ameolewa awe karibu na mmewe, aliitakia nin ndoa km hajamalza kunyonya,
na kuzaa sio tatizo, km tabia izo anazo haziachiki kw kuzaa
apo mama mkwe nd lawama namba moja..kutoijua nafasi ake kw ndoa ya mwanao
umeolewa...tena kinyoko kinyoko..maaa, cha kaz gani, deko na utovu wa adabu
 
Stahamili; binti yangu alipoolewa, na ilikuwa kaolewa nchi nyingine, basi mwaka wa mwanzo kutwa mara kumi simu, mara hiki mara kile, lakini alipojifunguwa tu simu zikakata, sasa hivi anaweza kukaa hata wiki mbili sijaongea nae.

Stahamili, mtoto wa kike mpaka a build sense if seurity kwako inachukuwa time. Na pengine hizo simu nyingi kwa mama'ke anataka ushauri tu wa kuishi vyema na wewe. Unafikiri kuna kigine kipi zaidi? Usiwe na hofu yatapunguwa kila muda unavyokwenda.

Ni kawaida sana, hususan kwa watoto wa kike walioishi na kukulia kwa mama zao mpaka wanaolewa.

mama angu, mi nahc la huyu kaka ni tofauti na mwanao, yey amemsoma mkewe kua hana furaha na mmewe labda na mama ake,
apo ni maisha magumu, binadam huezi ishi na mwenza wako ikawa wew hana furaha kwako ila kw watu wengine...apo unaishi na jini aisee.
mi nahc kuvumilia maumivu sio vyema, atatue kwa busara na akili
 
Nashukuru kwa michango,
Nikiangalia saa saizi ni saa tatu na dk saba, ndo ametoka kuingia siyo muda mrefu , kutoka wapi? Kwa mama!!!!!,

Tulikubaliana anaenda kuna mgonjwa anaenda kumtazama pale home, ni kweli. tumewasiliana vzr hadi mida ya saa nane mchana, saa kumi na moja namchek hapatikani mama hapatikani mdogowake anapatikana akanipa niongee nae, ananambia umeme umekatika na simu hazikuwa na chaji, unaondoka saa ngapi, ooh mume wangu nitachelewa coz kuna tatizo mama kapata, aah mbona hukunambia mapema, aah kupitiwaaaa!! Kimasikhara kama tunataniana!! Na.siyo mara ya kwanza hii late coming kutoka home kwa mama!!! Huyu ni mke wangu!! Sasa kwann asimshauri kwamba mwambie mumeo kwamba kuna tatizo coz inaonekana halijatokea ghafla halafu siambiwi ni tatizo gani'!!

Wananiona mi ni easy taker au vp????!!!!

Aah Mamdenyi, ndo mnavoshauriana na mama zetu wakwe hivo!!!!!?

kaka sote tumeoa, wakwe hawaingilii maisha yang. wanaheshimu. na namwambia mke wangu. ```wewe umeolewa`` basi usiiweke usiku, pole pole ongea nae ajue anatakiwa ajue wewe n kiongoz.




mke wangu mm hana ujanja, namliki. lkn si kwamba hali shwari noooo. Natakiwa nisome kla mara namna ya kupata mbinu.

she is bloody wife
 
Back
Top Bottom