na ww usiongee na mama yko wala usiende kwa mama yko unajua ukitoa amri sio ifatwe upande mmoja inafatwa na wote wawili
Kabla sijaoa nilikuwa naongea na mama kila siku, at least haikuwa mara nyingi kwa siku but kila siku, aidha nipige au yy apige, ilikuwa kawaida yetu'!! Note that
Baada ya kuoa, mama alinambia "mwanangu umekua, na utakuwa na familia, unahitaji kutumia muda wako mwingi kuifikiria familia yako kwakuwa tayari hiyo ni familia inayohitaji plan na misingi yenu ila kwa uahauri mwanangu nipo"
Siyo kama simpigii mama simu au hanipigii simu, but kwasasa imepungua idadi, coz am no longer a crying baby calling my mam most of the time!!!!!
Sisemi na yy iwe hivo, hapana! but nataka tofauti iwepo kati ya wale wadogo zake na yeye!!
kuna mambo ambayo yapo ktk ndoa ya wakwe zangu ambayo siyataki kwangu yawepo, yaani sitaki familia yangu iwe image ya aidha familia ya wazazi wangu au wazazi wake!!!! nataka iwe ya kwetu peke yetu!!!!
sasa naona unakuja mara nyingi na hoja nyepesi, ndo maana nakuuliza hivi umeelewa hasa ninachozungumza? Umeoa? Kama umeoa si umeweka misingi ya familia yako unataka iweje?? Au ww vyovyote vile pouwaaa!!????