Mama Mjane amlilia Rais Magufuli mbele ya Waziri wa Sheria

ila akina mama wanadhulumiwa sana kuhusu mirathi aisee, hasa vijijini
 
Hakika ni ujasiri wa hali ya juu, sijui kwa sababu ni mkenya? Watanzania wengi wako tayari Kuacha haki take ipotee kisa hataki usumbufu.
utasikia Mungu atanilipia, nooo, ya kaisari apewe kaisari na Mungu apewe Mungu bana, aka!!
 
Ndio maana mtu anaamuwa kujichukulia madaraka mikononi na kufanya vyovyote vile hyo mama kwel ukimsikiliza kadhulumiwa kiukwel kaeleza yte na hati zote anazo kaenda ngazi zote za kisheria lakn wapi na lengo lake kubwa alipokuwa amefikia ni kukutana na rais alikuwa anamtafutia timing muda mrefu cn ili kilio chake kickike
 
Ni tukio la bahati kutokea leo AU tukio la kupangwa?

WHY.
Mazingira ya huo mkutano, ulinzi, Usalama na Itifaki zilikuwa "Cheap" kiasi gani mpaka huyo mama kufanikiwa kuweza kupenya na kumfikia Mheshimiwa rais na kuweza kuyaongea hayo yote?
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mama mmoja ambaye ni mjane amefika mbele ya Rais kulilia haki yake, hakika kuna uwezekano hili suala linaenda na mtu


Kesi ya msingi hasa ni mirathi, hili jambo limekuwa likifanyika sana kwa watu wa hali ya chini.


Sarakasi hii, huyu Mkuu sijui hizi sarakasi zake watu watamwamini mpaka lini.
 
My take:huenda mama huyu anawasilisha wengi kama yeye.Muhimili wa mahakama ujisahihishe.Polisi wafanye kazi zao kwa weledi.Wenye nafasi ya kumsaidia mh Rais watimize wajibu wao maana mams huyu amesharipoti kwa waziri,dpp,nk bila msaada.Akinamama waige mfano wa huyu mama,wasiche haki yao ipotee.Mh Rais ninampongeza kwa kutoa maelekezo sawia.
 
Serikari ya magufuli ! Hawa watu wanaopora haki ya mama tunaomba watumbuliwe eee..................live
 
Ni tukio la bahati kutokea leo AU tukio la kupangwa?

WHY.
Mazingira ya huo mkutano, ulinzi, Usalama na Itifaki zilikuwa "Cheap" kiasi gani mpaka huyo mama kufanikiwa kuweza kupenya na kumfikia Mheshimiwa rais na kuweza kuyaongea hayo yote?

Tukio la Fisadi kuuziwa na kunywa Uji wa Mchele Tandale kwa Mama Ntilie kwny Kampeni 2015 lilitokea tu au lilipangwa?
 
Mkuu mwambie mama akutajie na wa mama wajane wengine wenye manyanyaso ili uwasaidie kama ulivyo msaidia huyo,NB:kwenye ziara zako kila unkopita ukisimama tu naomba uweunauliza je hapa kuna wamama wajane walionyanyaswa kupata hakizao?utaona watakavyo jitokeza mpaka utashangaaaa
 
Mipango tu hiyo wameipanga unajua leo ni siku gani?,,jiongeze sio kila kitu unakimbilia huku
Kwanini tukuamini wewe mkuu, vipi siku ikawa kweli kwamba huyu mama yuko sahihi utakuja kutwambiaje? Unamaanisha hawapo kabisa watu wanaoonewa huko mahakamani?
 
Huyu mama kwa jicho la pili asee katoa funzo kubwa sana.kwamba..kila unachokitaka maisha ni kinawezekana haijalishi vizingiti vingapi unakutana navyo...mama kasema hivi kati ya vitu vingine"Niko tayari kufungwa ama kupata haki yangu natoa machozi yangu Mbele yako Mh raisi"na hakuishia kujitetea mwenyewe bali kawatetea na wamama wote wanaonyanyasika out there,she nearly made me cry,nilimkumbuka mwanangu na mkewangu!!
Kabisa mkuu,huyu mama kanitoa machozi.ninachojiuliza ni wangapi wanaweza kufika kwa mh.rais?
 
Back
Top Bottom