ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,785
Makonda anazidi kukiwasha huko Moshi baada Mama wa Kizungu anaeitwa mama Sakila ambae ni Mwekezaji wa Hoteli (Sunrise Lodge) kumuomba amsaidie kupata pesa zake baada ya kuingia kwenye mgogoro na Benki ya Barclays/Absa na kwamba licha ya kesi mahakamani Bado hajapata Haki yake.
View: https://www.instagram.com/reel/C2cRCU1sPVO/?igsh=OGZvNHQwdDhubjY1
My Take
Hadi Wazungu wanajua kwamba Msaada wao ni Makonda 😂😂😂😂
View: https://youtu.be/3MjArqzE-n4?si=BFbnpYm4MACpaGsC
View: https://www.instagram.com/reel/C2cRCU1sPVO/?igsh=OGZvNHQwdDhubjY1
My Take
Hadi Wazungu wanajua kwamba Msaada wao ni Makonda 😂😂😂😂
View: https://youtu.be/3MjArqzE-n4?si=BFbnpYm4MACpaGsC