Huyu mama anakesi ya mirathi ya mume wake, sasa mawakili wake wanasaidiana na wanaotaka kumdhulumu ili asipate haki yake, kahangaika kwa mawaziri wa sheria IGP na DPP lkin bado anaona mapichapicha tuHabari mbona nusu nusu mngemtaja maama na shida yake mpk amefika kwa huyo mtu
Umeniwahi mkuuKuwa mjane siyo justification ya taratibu kupindwa ili kutoa favour...ila kwa mihemko ya kisiasa sishangai yakachukuliwa maamuzi ya kushangaza!
Nandilo likalouza magazeti ya kesho, mwanzo niliwaona wanausalama wakimtoa mbio mbio yule mama, polisi + usalama wa taifa walijazana kumsomba mama wa watu. Lakini baada ya muda kido, nilimuona mh Mwakyembe akimueleza rais kuhusu huyo mama, kisha mh Rais akatoa maamuzi ya yule mama aachiwe na asogee mbele ili amsikilize. Mama akaelezea shida yake , huku akiangusha kilio, na alimwambia mh rais kuwa alikuwa tayari kwa lolote kwa siku ya leo, ( yaani alijipanga kufikisha kilio chake kwa rais, hata kama ataonekana ni mchochezi na polisi wataamua kumfunga kwa kosa hilo la uchochezi , alisema yupo tayari).Tukio hilo limeibeba shughuli ya leo
Mkuu wa kaya katoa order, mama apewe askari mmoja wa kumlinda
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mama mmoja ambaye ni mjane amefika mbele ya Rais kulilia haki yake, hakika kuna uwezekano hili suala linaenda na mtu
Kesi ya msingi hasa ni mirathi, hili jambo limekuwa likifanyika sana kwa watu wa hali ya chini.
Nadhani madawa ndo yamepelekea kupewa ulinziNumber ya simu imechukuliwa.......mama kataja issue ya madawa ya kulevya.....that really trickled Mr.President's attention.....
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mama mmoja ambaye ni mjane amefika mbele ya Rais kulilia haki yake, hakika kuna uwezekano hili suala linaenda na mtu
Kesi ya msingi hasa ni mirathi, hili jambo limekuwa likifanyika sana kwa watu wa hali ya chini.