hii thread ya november 2011,inawezekana aliyeileta juu kaguswa na malaika
ila naye ana bonge la shepu
wewe una hatari,utanaswa nakuambia haya,jidhatiti kama nilivyokwambia thn nenda kwa amani la sivyo?shepu isikusumbue ban,unaweza kuta uzuri wa .........ndanikipande cha ...........!
kwahiyo kuliko mama na mwana herimama mwenyewe?
ndugu yangu huo ni mtihani mmoja mgumu sana
tena hata mimi ulinifanya niwe mpweke kwa ajili
ya kuhofia mahusiano nisijemtumbukiza binti yangu hatiani,
but ni uamuzi wako
sikuwahi ila inatokeaga unakuta umenasa bahati mbaya kwa mama ila si hamna malengo na mama,but ukiwaza binti unaweza kuwa na malengo naye.ndugu yangu huo ni mtihani mmoja mgumu sana
tena hata mimi ulinifanya niwe mpweke kwa ajili
ya kuhofia mahusiano nisijemtumbukiza binti yangu hatiani,
but ni uamuzi wako
sikuwahi ila inatokeaga unakuta umenasa bahati mbaya kwa mama ila si hamna malengo na mama,but ukiwaza binti unaweza kuwa na malengo naye.
sasa kama nimetegeka kwa mama,halafu nimempenda binti inakwaje
nataka kuwa mume wa mwanao. Kwi kwi kwi.
Nicas Mtei tena nitafurahi sana kupata mkwe wa home
but ni maelewano yenu,
she is now grown up anajua baya na zuri
japo yuko school bado.
sasa itabd nianze mchakato wa kumpata binti huyo wa nyumbani.. I hope 2takubaliana naye.... Ahsante mama mkwe