umeogopa nini jaman?? hv huyo kwenye avatar ni wewe halisi?hiyo signature yako imeniogopesha
unanizibia zali bhana
hiyo ni quotation ya JK hujawai kuisikia?? duuh na kwel nilishadataeti nikila cha mtu na mimi nitaliwa?>!
Avatar siyo mimi usije ukadata nayo.hehehhe
ntadata vipi wakati sikujui?usidate basi na avatar data na mimi
Mambo ya wake za watu siyo ishu tena watumishi wa sir god,unaweza fia kiunoni mwa mke wa mtu,hebu niambie hi valentine unatokana na nani?
dah sijapata itabidi nitoke peke yangu