Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,166
valid statement hiyo.
hehehe umeona eh?
valid statement hiyo.
Sio wewe?
natamani kulia hapa
usilie mpendwa. Ulimi uliteleza.
Nimependa sana hii!kwani huyu mchungaji si mwanamke wa kike? Nalog off
kemea kwa jina la yesu!
hiyo avatar yako imekaa kiuchokozi
umeona eeh!? mwenyewe memwambia kuwa hahitaji kusema neno Avatar imekwishamaliza yoote, lol
hehehe bombu bhana,haya sitii neno hapo
usijali mpz, nlikuwa najitahidi kuangalia, kumbe kweli Avatar yako ina kaujumbe flani hivi.
Kwani shem wangu Excellent yuko wapi tena? Au mama mchungaji yuko humu nini?
Tusije pingwa ngumi za uso
sijui nitimize tamaa ya mwili?dah ila kimoyomoyo kuna roho inaniambia nisitende dhambi.
sijui nichague uamuzi upi
sijui nitimize tamaa ya mwili?dah ila kimoyomoyo kuna roho inaniambia nisitende dhambi.
sijui nichague uamuzi upi