Mama Magufuli, nini kimekusibu?

Mama Magufuli, nini kimekusibu?

Magufuli ni mzima na mwenye afya azunguke naye kwa ajili gani halafu huyu mama ana kazi sasa Edo ni mgonjwa lazima mkewe amuangalie halafu huyo mama hana kazi

wee acha hizo huwaoni wanao fanya ziara wakiwa na ambulance..
Edo yupo fit
 
nimfanya kaz so anawajibikaa huyo asie na elimu gori kipa ndo azunguke


Umejibu vizuri sana ungekuwa karibu ungepata coca yako lakini kwa sababu sijui uliko wacha wanga waendelee kuwanga mchana.
 
yule ni mwalimu kura yake kwa lowassa
 
nimfanya kaz so anawajibikaa huyo asie na elimu gori kipa ndo azunguke

Acha matusi ww mtumwa wa mshahara! ww unachojua kutumikishwa tu ndo haki yako!?wenzako wameinvest pesa inawatumikia wana muda wa kufanya mambo yao mengine sio kama hao watumishi ambao wapo kwenye kifungo cha mwajiri.
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Pitia mabandiko ya wiki mbili zilizopita hapa JF, tulielezwa Mama Lowassa ni mama msomi ana Masters degree na ni Mwalimu by training and profession. Inawezekana kiwango chake cha elimu hakuna mwanamke kwenye uko wako aliyekifikia!!! Samahani kama nimekukwaza!!


Afadhali kumbe zipo habari kama hizo.

Binafsi, Sikuziona hizo posti.

Ila, Kitu kimoja tu,
Yule mama (Mke wa EL) hata kwa sisi ambao hatujawahi japo kuisikia sauti yake mara moja.
Hutuba aliyoitoa pale Millenium towers ile shughuli iliyoandaliwa na akina mama wa CDM ilitosha tu kujua kuwa maza yuko vizuri na ni KICHWA.-

Sasa hawa wanaokurupuka na kuropoka mambo ya hovyo juu ya mtu wasiemjua na ambae hata kwa kumsikiliza hawawezi bado kugundua wamuweke kundi gani wanayo matatizo yao binafsi na si kidogo.
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Pitia mabandiko ya wiki mbili zilizopita hapa JF, tulielezwa Mama Lowassa ni mama msomi ana Masters degree na ni Mwalimu by training and profession. Inawezekana kiwango chake cha elimu hakuna mwanamke kwenye uko wako aliyekifikia!!! Samahani kama nimekukwaza!!
Mama Mdogo nimekupenda bure naomba uwe ndugu yangu wa hiari hadi uchaguzi uishe.
 
Last edited by a moderator:
Maza magufuli kachukia sanaa bada ya kupata ushahidi usio na shaka kuwa magufuli kamhonga nyumba ya serikali kimada wake, na hivi sasa amani imetoweka katika familia yao...

Na Gwajima mshauri mkuu wa rais lowasa na waziri asiye na wizara maalum.
 
Hujamkwaza ila umemuelewesha.Kwa vile watu wanataka mabadiliko basi ni wazi hata mshauri wa mkulu sasa atakuwa Mwl mwenye shahada ya uzamili baada ya kuondoka Mwl wa UPE
"Mshauri wa Mkulu"? Hii Nyerere ameikemea sana ya Rais kupewa ushauri na mkewe katika mambo ya kitaifa!(sikiliza hotuba zake)
 
Nampenda mama magufuli,ameokoka na mtu wa kujishusha,naamini Yuko kwenye maombi mazito na kuandaliwa kuwa first lady wetu,MUNGU amsaidie.

Mungu gani huyo ana muda mchafu kama huo?afanye maombi kwanza kumuombea Mume wake aache michepuko.
 
Yupo na anapika mihogo ya slaa....... No, I mean makomeo
 
Back
Top Bottom