Wadau kuna jamaa yangu kakutana na mmama mtu mzima huko kunako ofisi. Huyu mmama inaelekea hapewi sawasawa ile haki ya 6*6 huko nyumbani muda wote ni km ana full miwasho huko chini na akikutana na jamaa kazini inakuwa majaribu tupu.
Mama ni kibosile fulani wkt jamaa ndo kwanza kaanza kazi. Jamaa anadai akikutana na maza basi ni full mitego. Kikubwa inaelekea huyo maza anataka kukunwa kule "pahala".
Kwa jamaa yangu huu ni mtihani mkubwa kifupi yupo njiapanda hajui afanyw nini, je ampe maza mambo au la? Lakini hajui km akimpa akanogewa itakuwaje kwa saabu jamaa naye ana maisha yake huko kitaa. Je maza akinogewa akadai waendelee itakuwaje?
Kaniomba ushauri nimeona ni ishu ya ajabu kidogo ni km ndo kwanza naisikia kiuhalisia hivi. Wadau ushauri jamaa amalize au aendelee kumpotezea maza?