hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,124
- 72,844
wanaume huwa hatunaga sifa yakujiuliza uliza Mara 2 pindi tunapotakwa aiseee labda huyo anayekutaka awe haja fit vigezo vya mwanamke unayemkubali ""
aache uwongo wake kabisaaa wakusema kuwa bado hajamla Huyo mmama "" wanaunme sis niwatu watamaa kama fisi wazee wa action cut ...usikute ameshamla huyo bimkubwa kitambo tu ila anaona noma kukwambia ...
wanaume akili zetu tunazijuaga wenyewe " tuna kulaga show kwanza then majuto huwaga ni baada ya tendo ""
aache uwongo wake kabisaaa wakusema kuwa bado hajamla Huyo mmama "" wanaunme sis niwatu watamaa kama fisi wazee wa action cut ...usikute ameshamla huyo bimkubwa kitambo tu ila anaona noma kukwambia ...
wanaume akili zetu tunazijuaga wenyewe " tuna kulaga show kwanza then majuto huwaga ni baada ya tendo ""