Mama kibosile 'ananitega' kazini

Mama kibosile 'ananitega' kazini

wanaume huwa hatunaga sifa yakujiuliza uliza Mara 2 pindi tunapotakwa aiseee labda huyo anayekutaka awe haja fit vigezo vya mwanamke unayemkubali ""

aache uwongo wake kabisaaa wakusema kuwa bado hajamla Huyo mmama "" wanaunme sis niwatu watamaa kama fisi wazee wa action cut ...usikute ameshamla huyo bimkubwa kitambo tu ila anaona noma kukwambia ...
wanaume akili zetu tunazijuaga wenyewe " tuna kulaga show kwanza then majuto huwaga ni baada ya tendo ""
 
kama unategwa si unase sasa unasubiri nini??
ila kumbuka ktk kupakua asali ujiandae pia kung'atwa na nyuki
 
Wadau,

Kuna jamaa yangu kakutana na mama mtu mzima huko kunako ofisi. Huyu mama inaelekea hapewi sawasawa ile haki ya 6*6 huko nyumbani muda wote ni kama ana full miwasho huko chini na akikutana na jamaa kazini inakuwa majaribu tupu.

Mama ni kibosile fulani wakati jamaa ndo kwanza kaanza kazi. Jamaa anadai akikutana na mama basi ni full mitego. Kikubwa inaelekea huyo maza anataka kukunwa kule "pahala".

Kwa jamaa yangu huu ni mtihani mkubwa kifupi yupo njiapanda hajui afanyeje nini, je ampe mama mambo au la? Lakini hajui kama akimpa akanogewa itakuwaje kwa saabu jamaa naye ana maisha yake huko kitaa. Je mama akinogewa akadai waendelee itakuwaje?

Kaniomba ushauri nimeona ni ishu ya ajabu kidogo ni kama ndo kwanza naisikia kiuhalisia hivi.

Wadau ushauri jamaa amalize au aendelee kumpotezea mama?
Ni mama yako?
 
Back
Top Bottom