Hivi Mr Miller unaongeaga eeeh?
Nakuonaga tu unanipa like huyo unapita kimya.😛😛


sio sanaWengine huwaga wana ukimwi, ajihadhari asije badae akajutia.Wadau kuna jamaa yangu kakutana na mmama mtu mzima huko kunako ofisi. Huyu mmama inaelekea hapewi sawasawa ile haki ya 6*6 huko nyumbani muda wote ni km ana full miwasho huko chini na akikutana na jamaa kazini inakuwa majaribu tupu.
Mama ni kibosile fulani wkt jamaa ndo kwanza kaanza kazi. Jamaa anadai akikutana na maza basi ni full mitego. Kikubwa inaelekea huyo maza anataka kukunwa kule "pahala".
Kwa jamaa yangu huu ni mtihani mkubwa kifupi yupo njiapanda hajui afanyw nini, je ampe maza mambo au la? Lakini hajui km akimpa akanogewa itakuwaje kwa saabu jamaa naye ana maisha yake huko kitaa. Je maza akinogewa akadai waendelee itakuwaje?
Kaniomba ushauri nimeona ni ishu ya ajabu kidogo ni km ndo kwanza naisikia kiuhalisia hivi. Wadau ushauri jamaa amalize au aendelee kumpotezea maza?
Mahusiani na jirani hayafai mkuu au sijakuelewa?Vjana wa leo tunaonekana kama cyo wanaume kamili,huwez jihusisha kmapenz na jirani yako au m2 unayefanya nae kazi kwenye ofc moja huo ndyo mwanzo wa kuharibi kaz!
Akikataa itakula kwake anaeza kumuundia zengwe akatupwa nje ya senyengeMuambia amuepuke huyo mama, ni hatari sana. Let him go on at his own risk.
Mahusiano kazin ni kitu cha hatar mno. Tell him to whatch out. Huwa mara nyingi yanaishia vibaya.Muambia amuepuke huyo mama, ni hatari sana. Let him go on at his own risk.
Hawa vjana wa skuhiz yan wanachezaMwambie aache ujinga akapime aanze kula maisha kiulaini. Hizo fursa zinatafutwa huku. Mamaza ya dizaini hiyo akikukubali unahudumiwa kila kitu.

Unaendelea tu kutafuna k ya bureMkuu vp maza akihamia mazima??