nisubiri badaeMchalii is above 20 anajua cha kufanyaNi mchalii.maza ndo mtu mzma.
Hivi Mr Miller unaongeaga eeeh?Hivi kwani kumeshakucha huko?
....huku nanjirinji naona bado kuna giza nene asee
Siamini katika zinaa ndugu yangu😱😳![]()
ni kweli mkuu. au amwambie wapime kwnza ndo aanze kupiga ?