MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,050
Hapana kwake inamsaidia sana kihisia.kitaalamu amekuwa kwenye grieving process kwa muda mrefu mno.sasa ni kusema atafika mwisho.
Prolonged grief ingeweza kumuua hata yeye.Ukimfuatilia utaona tayari hata kiakili hakuwa sawa.
duh..miaka 2 unafurah namna hyo !anywys