huenda wewe ndo mjinga !huenda hukunielewa !masuala ya kaka wa taifa yameingiaje hapa ! sijakataa sheria ifuate mkondo ila kimahesabu miaka 2 na wewe umempoteza mwanao ni tofauti kbs aendelee tu kumlilia mwanaye lakini sio afurahi eti had machozi ya furaha !labda usiwe mama hujapiota labor !kifo cha mtoto kinauma!nn miaka 2 jela?
Kwa uhalisia ni Mwaka mmoja maana wana hesabu Mchana na usiku, avumilie tu amalize salama awe huru.