Mama Kamkataa Mchumba Wangu

Mama Kamkataa Mchumba Wangu

hallooo hiyo kesi nyingine maana binti mwenyewe ndo hivyo tena kafa kaoza kwangu hana hata chembe la dosari useme nimuache ndani ya uhusiano wetu uliyedumu yapata mwaka sasa hajawahi kunikosea na ananisikiliza sana,huruma inanijia tatizo hawa wadada hawaaminiki huwa vigeugeu anakua mpole ili upitishe ndoa baada ya hapo ndo majanga huanzaga

kama unampenda oa na kama anakupenda hawezi kukufanyia vbaya mueleze mama ukweli awape baraka zote mana cku hzi ndoa inasimama kwa maombi na upendo wa kweli unaweza ukaoa wa kabila lako naye akafanya vituko tu only God ndo anaye saidia hayo mambo
 
mkuu japo najiweza kumbuka lakini kwenye maisha kuna kuanguka takimbilia wp????

kwa nini uwaze kuanguka na si kupanda hata kuanguka nayo ni part ya maisha ukiweka negativity nyingi huwezi kufika we are what we are because of our thinking ucpende kufikiria negative tu mkuu
 
kwa nini uwaze kuanguka na si kupanda hata kuanguka nayo ni part ya maisha ukiweka negativity nyingi huwezi kufika we are what we are because of our thinking ucpende kufikiria negative tu mkuu
mkuu kwenye biashara kuna faida na hasara
 
we unaweza kuoa dada ako?
Ahaaaa kumbe kweli umepanik hahahaa!Sasa kama Bi Mkubwa hataki uoe huyo mchaga atakwiba mali zenu si bora uoe ndugu wa karibu? Mi ningekuwa mwanaume afu bimkubwa wangu akatae mi kuoa mchaga au kabila lolote ningeoa dada yangu
 
Ahaaaa kumbe kweli umepanik hahahaa!Sasa kama Bi Mkubwa hataki uoe huyo mchaga atakwiba mali zenu si bora uoe ndugu wa karibu? Mi ningekuwa mwanaume afu bimkubwa wangu akatae mi kuoa mchaga au kabila lolote ningeoa dada yangu
kumbe ww ni ke,basi nakupa nafasi ya upendeleo nikuoe ww ila usiwe mchaga
 
kumbe ww ni ke,basi nakupa nafasi ya upendeleo nikuoe ww ila usiwe mchaga


Kwanza nimeolewa, afu ata kama ningekuwa sijaolewa na sio mchaga nisingekubali unioe mana nyie mnaoendeshwa na mama zenu kama magari mabovu sio wanaume wa kuoa
 
Kwanza nimeolewa, afu ata kama ningekuwa sijaolewa na sio mchaga nisingekubali unioe mana nyie mnaoendeshwa na mama zenu kama magari mabovu sio wanaume wa kuoa
sasa my sister usipomsikiliza mzazi wako utamsikiliza nan?
 
Huyo mama yako mwambie umuoe yeye. Hana adabu kabisa.
 
Kwanza nimeolewa, afu ata kama ningekuwa sijaolewa na sio mchaga nisingekubali unioe mana nyie mnaoendeshwa na mama zenu kama magari mabovu sio wanaume wa kuoa

umenena point mwanaume yoyote ambaye hana msimamo ana rimotishwa hafai mwenyewe nyumbani ni waelewa wanakuruhusu ufanye ukipendacho wazazi wanakuombea baraka na kusaidia mawazo ila anaye kuchagulia cjui ufanye hv na vile mi naona uelewa wao cdhani
 
Na mimi nishaambiwa kabisa ni kuoa nyumbani kabisa Moshi..... La mcng na ww oa kwenu tuu kuondoa utata tumechoka.....
 
Na mimi nishaambiwa kabisa ni kuoa nyumbani kabisa Moshi..... La mcng na ww oa kwenu tuu kuondoa utata tumechoka.....
hilo ndo la msingi kuepusha lawama
 
Habari wana JF

J/pili yangu imekuwa mbaya kwa kweli. Nina mpenzi wangu yapata mwaka sasa ila sikuwahi kumtambulisha kwa ndugu yangu yeyote. Mpenzi wangu ni Chagga girl, hivyo basi nikaona nimfanyie Suprise ya kiaina bimkubwa nikamtambulishe amjue mkwe wake.

Nikampigia simu mama alifurahi sana, akaniuliza kabila gani? nikamwambia ni mchaga, nilichoka kwa kweli namnukuu, tena ishia hapohapo na kama mko njiani geuza mlipo toka unatuletea mchaga unataka aje ahamishe mali zote kwao.

Tena sitaki kusikia hizo habari"mwisho wa kumnukuu ila my baby hakusikia chochote nikavunga kwamba bimkubwa hayupo home yupo mbali.

Ushauri please nampenda sana huyu msichana na mama nampenda kuliko maelezo.

Kampe mpoki na Joti waigize Komedy
 
umenena point mwanaume yoyote ambaye hana msimamo ana rimotishwa hafai mwenyewe nyumbani ni waelewa wanakuruhusu ufanye ukipendacho wazazi wanakuombea baraka na kusaidia mawazo ila anaye kuchagulia cjui ufanye hv na vile mi naona uelewa wao cdhani
misingi bora ya maisha hutoka kwa wazaz hicho ndicho ninachokiamini na ndicho kilichonifikisha hapa nilipo sasa mpendwa ww kama ulilelewa na robot huwez jua thaman ya mzaz
 
misingi bora ya maisha hutoka kwa wazaz hicho ndicho ninachokiamini na ndicho kilichonifikisha hapa nilipo sasa mpendwa ww kama ulilelewa na robot huwez jua thaman ya mzaz

najua thamani ya wazazi nawapenda nakuwaheshimu watu wa familia yangu ni waelewa sana tena hunishauri mambo ya msingi kwangu mimi mwanaume asiye na maamuzi hafai hata kulumangia mimi hata nikimpeleka mchumba watanielewa coz what they need for me is my hapiness niwaelewa hata ndugu zangu all family hawajawah kuleta mchumba wakakataliwa eti kwa sababu ya ukabila hata hao wazazi i wonder kwakweli mana ndoa hutoka kwa Mungu
 
Back
Top Bottom