Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,268
- 1,267
Eboo!Wapi nimepanic?We nadhani ndo umepanic mi nimempa ushauri tu kwamba aoe ndani ya familia yao, sa wapi nimepanikmbona unapaniki kama ww ndo muoaji punguza jazba ndugu
Eboo!Wapi nimepanic?We nadhani ndo umepanic mi nimempa ushauri tu kwamba aoe ndani ya familia yao, sa wapi nimepanikmbona unapaniki kama ww ndo muoaji punguza jazba ndugu
hallooo hiyo kesi nyingine maana binti mwenyewe ndo hivyo tena kafa kaoza kwangu hana hata chembe la dosari useme nimuache ndani ya uhusiano wetu uliyedumu yapata mwaka sasa hajawahi kunikosea na ananisikiliza sana,huruma inanijia tatizo hawa wadada hawaaminiki huwa vigeugeu anakua mpole ili upitishe ndoa baada ya hapo ndo majanga huanzaga
mkuu japo najiweza kumbuka lakini kwenye maisha kuna kuanguka takimbilia wp????
mkuu kwenye biashara kuna faida na hasarakwa nini uwaze kuanguka na si kupanda hata kuanguka nayo ni part ya maisha ukiweka negativity nyingi huwezi kufika we are what we are because of our thinking ucpende kufikiria negative tu mkuu
Ahaaaa kumbe kweli umepanik hahahaa!Sasa kama Bi Mkubwa hataki uoe huyo mchaga atakwiba mali zenu si bora uoe ndugu wa karibu? Mi ningekuwa mwanaume afu bimkubwa wangu akatae mi kuoa mchaga au kabila lolote ningeoa dada yanguwe unaweza kuoa dada ako?
kumbe ww ni ke,basi nakupa nafasi ya upendeleo nikuoe ww ila usiwe mchagaAhaaaa kumbe kweli umepanik hahahaa!Sasa kama Bi Mkubwa hataki uoe huyo mchaga atakwiba mali zenu si bora uoe ndugu wa karibu? Mi ningekuwa mwanaume afu bimkubwa wangu akatae mi kuoa mchaga au kabila lolote ningeoa dada yangu
kumbe ww ni ke,basi nakupa nafasi ya upendeleo nikuoe ww ila usiwe mchaga
Kwanza nimeolewa, afu ata kama ningekuwa sijaolewa na sio mchaga nisingekubali unioe mana nyie mnaoendeshwa na mama zenu kama magari mabovu sio wanaume wa kuoa
Habari wana JF
J/pili yangu imekuwa mbaya kwa kweli. Nina mpenzi wangu yapata mwaka sasa ila sikuwahi kumtambulisha kwa ndugu yangu yeyote. Mpenzi wangu ni Chagga girl, hivyo basi nikaona nimfanyie Suprise ya kiaina bimkubwa nikamtambulishe amjue mkwe wake.
Nikampigia simu mama alifurahi sana, akaniuliza kabila gani? nikamwambia ni mchaga, nilichoka kwa kweli namnukuu, tena ishia hapohapo na kama mko njiani geuza mlipo toka unatuletea mchaga unataka aje ahamishe mali zote kwao.
Tena sitaki kusikia hizo habari"mwisho wa kumnukuu ila my baby hakusikia chochote nikavunga kwamba bimkubwa hayupo home yupo mbali.
Ushauri please nampenda sana huyu msichana na mama nampenda kuliko maelezo.
misingi bora ya maisha hutoka kwa wazaz hicho ndicho ninachokiamini na ndicho kilichonifikisha hapa nilipo sasa mpendwa ww kama ulilelewa na robot huwez jua thaman ya mzazumenena point mwanaume yoyote ambaye hana msimamo ana rimotishwa hafai mwenyewe nyumbani ni waelewa wanakuruhusu ufanye ukipendacho wazazi wanakuombea baraka na kusaidia mawazo ila anaye kuchagulia cjui ufanye hv na vile mi naona uelewa wao cdhani
misingi bora ya maisha hutoka kwa wazaz hicho ndicho ninachokiamini na ndicho kilichonifikisha hapa nilipo sasa mpendwa ww kama ulilelewa na robot huwez jua thaman ya mzaz
kumbe ww ni ke,basi nakupa nafasi ya upendeleo nikuoe ww ila usiwe mchaga
Wachaga ni wezi sana eeh