Mama Kamkataa Mchumba Wangu

Mama Kamkataa Mchumba Wangu

Wengine mna bahati mbaya sana. Mungu aendelee kumbariki sana bimkubwa wangu. Sijawahi kuona mama bora kama mama yangu. Upuuzi wa kumchagulia mwanae mwenza hajapata hata kuuwaza.
wazazi wote ni bora ila wanatofautiana mawazo kila mzaz ana maono tofauti.litambue hilo
 
consult na ndugu zako wengne wamueleweshe mama then kuwa na ur side of the story too abt her y u love her she myt change her thinking, who knows.
 
bi mkubwa wako something is wrong anaendekeza ukabila mpaka leo miaka 50 ya muungano? sasa we ndo unayejua ukweli kuhusu huyu mpenzio miss chagga cha kufanya ni we kuonyesha msimamo kwani utaisha na bimkubwa au huyo miss chagga we acha woga
 
Sufuria tatu, vijko vikombe, sahani, shamba ekari 1, sofa, tivii, redio, vitanda, nyumba, nk
Sasa waweza kukuta binti wa watu kwao zimepaki evoques, housemaid wa 3, shopping ya vijiko ni dubai, sofa leather, home theater system ni alpine e.t.c.
Sasa wewe na mama ako mnavyoviona mali wenzenu vinapatikana servant quarters! Zaidi zaidi unaweza kufundishwa ku hustle kijana!
 
elewa lakini bimkubwa kanibeba 9mnth na kanilea hadi hapa nilipo,its my hard time

Alitimiza wajibu wake na sasa unapaswa uishi kwa kufanya maamuzi wewe mwenyewe na sio kumtegemea mama wewe kijana vipi? Hebu kuwa mwanamume.
 
wazazi nao wanahaki ya kusikilizwa.pande za wakina nje ya box 18

Kuwasikiliza Yes, lakini uamuzi unao wewe. Labda useme kama unategemea wakulipie mahari na kukupa kianzio cha maisha lazima uoe chaguo lao badala ya chaguo lako. Vinginevyo Sikiliza lakini waambie umaamua kuoa mchaga kwasababu unaona ndiyo anakufaa kama mke wako na sio mke wa familia au ukoo. Wasikia bwana mdogo.
 
Kaa nae chini bimkubwa muelekeze hayo mambo yalikuwa zamani! Usikate tamaa!
 
Theoretically Yes, but practically a big NO

Umefanya vice versa. Theoretically ndoa au mahusiano ni ya watu 2 lkn practically ni ya familia 2. Kinacjobaki cha watu 2 ni tendo lá ndoa tu.
 
Mmmh kwa nijuavyo ndugu zangu walio olea uchagani na hatima zao najitoa kukushauri kaka, japo sikuzuii
 
Sasa waweza kukuta binti wa watu kwao zimepaki evoques, housemaid wa 3, shopping ya vijiko ni dubai, sofa leather, home theater system ni alpine e.t.c.
Sasa wewe na mama ako mnavyoviona mali wenzenu vinapatikana servant quarters! Zaidi zaidi unaweza kufundishwa ku hustle kijana!

Huwezi jua bi mkubwa anafikiria kitu gani hasa kuna baadhi ya makabila kukaa ni shida, Mali ni mali ni haijalishi kiasi gani but asset
 
Umefanya vice versa. Theoretically ndoa au mahusiano ni ya watu 2 lkn practically ni ya familia 2. Kinacjobaki cha watu 2 ni tendo lá ndoa tu.

Uko sahihi mkuu right nakuwa mimi kwenye hiyo stuation najaribu kumuelekeza bi mkubwa vizuri asiponielewa basi tena najisemea haikua riziki yangu.
 
Back
Top Bottom