uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,454
- 2,242
Kwani kwenu mna mali au ndo izo utakazo tafuta wewe na your to be?
Mzazi yeyote mwenye busara humshauri mwanae na sio kumlazimisha afanye vile yeye atakavyo. Kuna kitu wamama wengi huwa wanashindwa kuelewa!Mtoto wa kiume akifikisha umri wa kujitegemea inamlazimu mama kumuachilia mtoto wake. Wengi wao huwa hawakubali kuwaachilia watoto wao wa kiume na kuona kwamba wana haki ya kucontrol maamuzi yao HASA KATIKA MAHUSIANO kitu ambacho sio sawa!!Nakumbuka first born wetu (mdada) alipata mchumba mchaga na wanafamilia walikuwa na negativity sana na hilo kabila na walimshauri sister asiolewe naye ila baba yangu alikuwa na busara sana, alimkalisha chini akamwambia kuwa yeye hana pingamizi na maamuzi yake ila tu awe makini maana kuna baadhi ya wachaga wana tabia fulani fulai zisizo nzuri so awe makini!!Thats what a parent should tell his son/daughetsasa my sister usipomsikiliza mzazi wako utamsikiliza nan?
then wakisha igiza
ndo ushauri utakua umepatikana c ndo maana yake
upo sahihiMzazi yeyote mwenye busara humshauri mwanae na sio kumlazimisha afanye vile yeye atakavyo. Kuna kitu wamama wengi huwa wanashindwa kuelewa!Mtoto wa kiume akifikisha umri wa kujitegemea inamlazimu mama kumuachilia mtoto wake. Wengi wao huwa hawakubali kuwaachilia watoto wao wa kiume na kuona kwamba wana haki ya kucontrol maamuzi yao HASA KATIKA MAHUSIANO kitu ambacho sio sawa!!Nakumbuka first born wetu (mdada) alipata mchumba mchaga na wanafamilia walikuwa na negativity sana na hilo kabila na walimshauri sister asiolewe naye ila baba yangu alikuwa na busara sana, alimkalisha chini akamwambia kuwa yeye hana pingamizi na maamuzi yake ila tu awe makini maana kuna baadhi ya wachaga wana tabia fulani fulai zisizo nzuri so awe makini!!Thats what a parent should tell his son/daughet