Habari wana jf,
J/pili yangu imekuwa mbaya kwa kweli.Nina mpenzi wangu yapata mwaka sasa ila sikuwahi kumtambulisha kwa ndugu yangu yeyote,mpenzi wangu ni Chagga girl,hivyo basi nikaona nimfanyie Suprise ya kiaina bimkubwa nikamtambulishe amjue mkwe wake nikamvutia waya bimkubwa alifurai sana,akaniuliza KABILA GANI?nikamwambia ni MCHAGGA,Daah!!nilichoka kwa kweli namnukuu,"tena ishia hapohapo na kama mko njiani geuza mlipo toka unatuletea mchaga unataka aje ahamishe mali zote kwao,tena sitaki kusikia hizo habari"mwisho wa kumnukuu ila ma bby hakusikia chochote nikavunga kwamba bimkubwa hayupo hom yupo mbali 2kaback at home.Ushaur pliziiiiiiiiii nampenda sana huyu dem na Bimkubwa nampenda kuliko maelezo