We unaonekana ushaamua kumfuata mama kwa jinsi tu unavojibu sasa follow ur heart! Mama angu pia hataki kusikia wachaga kabisa, awe mmachame, mmarangu hataki kabisa as long as ni mchaga, uwa anamwambia mdogo wangu wa kiume yani katika pitapita zako huko wachaga waangalie kwa mbali kabisa usije leta mchaga hapa haha...sasa hawa wazee cjui wana ishu gani na wachaga sababu with whatever reasons thy av watu hutofautiana kitabia ila pia wazee wanaona mbali na wamepitia mengi, binafsi nakuelewa, its really hard to go against ur parent na wanaosema anaeoa sio mama, it doesnt work like that, mana ata huyo binti hatafurahia ndoa kama mama mkwe hampendi na hawezi kumkwepa akishaolewa ni familia tayari so watakutana tu,ila kama mama anakupenda sana mwisho wa siku atakubali tu we endelea kumbembeleza.