CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Kwanza Pole na kazi nzuri.
Pili, naomba hili uliweke maanani: Mzazi Mwenzetu Kikwete na mama Salma walikwazika sana kwa jinsi jamii ilivyokuwa ikimjadili mtoto wao aliyekuwa Feza Girls,matokeo hayakuwa mazuri. Sisi kama wazazi tulikwazika sana. Suppose it were your daughter? Put yourself in the shoes of these parents!!!
OMBI: matokeo ya mitihani yatambuliwe kwa namba za watoto tu. After all matokeo ni haki ya mtahiniwa kuyaweka public or not.
Pili, naomba hili uliweke maanani: Mzazi Mwenzetu Kikwete na mama Salma walikwazika sana kwa jinsi jamii ilivyokuwa ikimjadili mtoto wao aliyekuwa Feza Girls,matokeo hayakuwa mazuri. Sisi kama wazazi tulikwazika sana. Suppose it were your daughter? Put yourself in the shoes of these parents!!!
OMBI: matokeo ya mitihani yatambuliwe kwa namba za watoto tu. After all matokeo ni haki ya mtahiniwa kuyaweka public or not.