Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,686
- 12,012
Mama janeth first lady mwenye heshima zake
Hongera mama
Hongera mama
Mama janeth first lady mwenye heshima zake
Hongera mama
Mungu noma! ..unamiliki real estate huko madubei...kampuni za maana sio km za Jack .
Kwani nani first lady Tz ana kashfa mkuu?
Huyu mama ni mfano wa kuigwa
Na Imani kna mambo makubwa anafanya pmja na kusaidia
Syo wale wa WAMA, TEFSS NN cjui
Ova
cha msingi tembeeni vifua mberee
Huyu mama ni mfano wa kuigwa
Na Imani kna mambo makubwa anafanya pmja na kusaidia
Syo wale wa WAMA, TEFSS NN cjui
Ova
Mzee alishamkatazaHivi kwan ni kabila gan huyu mama?amezubaa..hachangamkii fursa...! mie ningekuwa first lady muda huu ningekuwa na Kampuni inayoeleweka Dubei huko!
She is very bright
Na anezaliwa na kukulia mjini Dar es salama na wala hajionyeshi km mtoto wa mjini
Ingekuwa dunganyembe lingine limeolewa na jpm na limekulia hapa mjini
Tungeona kila rangi ikulu
wana habari za uongo 😀Followers wa Mange utawajua tu
Mngemtoa nyongo. Hayo matusi angeyavulia kweli? Siti Mwinyi aliambiwa kachukua pesa kajenga hoteli. Masikini ya Mungu ajachukua chochote ikulu. Salma na SHULE zake, kelele mpaka laoHivi kwan ni kabila gan huyu mama?amezubaa..hachangamkii fursa...! mie ningekuwa first lady muda huu ningekuwa na Kampuni inayoeleweka Dubei huko!
Mtoto wa askari Police Sgt. Mwaminifu sanasijui atakuwa kabila gani yaan hajui kuwa Ufirst ledi na unwritten cheo
Mtoto wa Police Sgt. Kazakiwa kambini. Heshima mtindo mmojaShe is very bright
Na anezaliwa na kukulia mjini Dar es salama na wala hajionyeshi km mtoto wa mjini
Ingekuwa dunganyembe lingine limeolewa na jpm na limekulia hapa mjini
Tungeona kila rangi ikulu
Mwambieni mumewe, mnamuogopa? Ila nawahakikishieni. Mkitaka Janet awaombee kwa Magufuli hamtafanikiwa kamwe, huo ndio ukweli. Changanyeni akili zenu za kustaafu na za kuambiwa.Tumestaafu kwa mujibu, lakini wengi wetu tulimaliza utumishi kwa kiwango kidogo cha mshahara na pensheni tunayolipwa ni ndogo sana, mfano laki moja kwa mwezi haitoshi maisha yamebadilika sana.
Wacha we ! Bavicha utawajua tu ! Hatutaki first Lady mwizimwizi.Hivi kwan ni kabila gan huyu mama?amezubaa..hachangamkii fursa...! mie ningekuwa first lady muda huu ningekuwa na Kampuni inayoeleweka Dubei huko!
Eti kashindwa kabisa kuanzisha WAMA yake,hopeless,mlivyopiga zile mlitegemea na huyu mtapiga?hivi kashindwa kabsa kuanzisha WAMA yake huyu mama?
Angekaa na salima mwalimu mwenzake ampe maujanja



Kwa haya maoni haki Magufuli aonekane kichomi kwenuHivi kwan ni kabila gan huyu mama?amezubaa..hachangamkii fursa...! mie ningekuwa first lady muda huu ningekuwa na Kampuni inayoeleweka Dubei huko!