Mama Hamisa asema anataka mwanae aolewe na Mzungu, Waafrika hawafai

Hivi hawa watu maarufu hususani vijana wezangu mama zao wananini mwisho wataanza kuvunjiwa heshima kama kina mama wakina fulani bora watulie media waachie watoto zao
 
Wanawake hua hawakui kiakili hata siku moja,lakini anafaa kwa matumizi ya binadamu huyu mama.
 
Huyu mama anamtumia mwanae Kama kitega uchumi!
Malezi Yake ndo yamemfanya mwanae awe na tabia Za vile !
Mama mwanao Mdangaji tu @ Mama !
 
Sasa mbona anamsindikiza mwanae madale akatiwe huo mda si angemtafutia huyp mzungu wake
 
Usaliti,,,,upo kwa watu wote DUNIANI,,,zile tamthilia za BARBARITHA na ELIJANDRO ni story tu na sio uhalisia,,,,,tatizo LA mwanao TAMAA.....na hapo alipo asipoolewa na DOMO hakuna wa kumuoa tena zaidi ya KUGEGEDA....
 
Back
Top Bottom