BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,024
Best michezo ipi hiyo? Ya mtu nyingi?
Mama anajua michezo ya wazungu lakini?
Mama anajua michezo ya wazungu lakini?
Njoo nyumbani Kwamtogole best si hapaBest michezo ipi hiyo? Ya mtu nyingi?
Njoo nyumbani Kwamtogole best si hapa
Tana amekuwa mwali, tulimchezea ngoma mwezi wa pili kumbe unamkumbuka?Okay nitapita msalimie Rhoda.
Huyu maza ana wazimu kwa uzuri upi alionao mwanae???Nimeingia kusoma post yako tu
Majina na maisha ya kimtandao ndio yanasababisha yote hayoHuyu maza ana wazimu kwa uzuri upi alionao mwanae???
Ngoja nicheke tu vile vimashavu vyake km paka wa ikuluMajina na maisha ya kimtandao ndio yanasababisha yote hayo
Ukoloni hautokaa uishe.. Lakini pia this is another bullshit thinking from African women... Kumbe huyu mama ana mawazo kimo cha mbilikimo kiasi hiki... Anasifia uzuri wa mwanae hajui hujafa hujaumbika!?View attachment 747024
Mama wa mwanamitindo, Hamisa Mobeto, Shufaa Rutiginga amesema katika maisha yake alikuwa anamuombea mtoto wake huyo aolewe na mzungu.
Akizungumza na MCL Digital, Shufaa amesema sababu ya kutaka aolewe na mtu wa aina hiyo ni kutokana na wanaume wa kiafrika kutokuwa na mapenzi ya kweli.
“Unajua mtoto wangu ni mzuri, mrefu ana shingo nzuri nataka mwanaume atakayemuoa amuangalie kama malaika, kama malkia kwa kuwa ni mwanamke mwenye misimamo yake na ametulia sio muhuni kama watu wanavyomfikia.
“Wazungu hawana ‘stress’ wanajua namna ya kujali mwanamke, hawanaga mambo ya longolongo linapokuja suala zima la mapenzi tofauti na wanaume wetu wa kiafrika,”amesema.
Kuhusu suala la kuzaa na wanaume tofauti, mama Hamisa amesema hilo kwake halimpi shida na angependa amletee wajukuu wengi zaidi kwa kuwa yeye alijaliwa kumzaa peke yake na kudai kwamba hao ndio ndugu zake.
Ni kutokana na hilo, amesema anatamani amzalie watoto sita, kwa kuwa sasa hivi ana nguvu za kulea wajukuu zake na siku hayupo duniani hao ndio watakuwa ndugu zake na kuweza kumsaidia.
Mpaka sasa Hamisa ana watoto wawili.
Chanzo: Mwananchi
Basi tu nimekuwa mtu mzima sasa... Ningemtokea huyo nimpe habari yake kwa vitendoYaani Tz, mtoto akipata umaarufu kidogo tu; mama zao nao wanafuata!
Karibia naye mtasikia ana kiben 10, si bure.
Mawazo takataka kabisa.
Naona huyo mama hana mume mwafrika.
Hamisa, baba yake ni mzungu bila shaka.
Hahah!!Ngoja nicheke tu vile vimashavu vyake km paka wa ikulu
Na mwanae sio mzuri jamaniUkoloni hautokaa uishe.. Lakini pia this is another bullshit thinking from African women... Kumbe huyu mama ana mawazo kimo cha mbilikimo kiasi hiki... Anasifia uzuri wa mwanae hajui hujafa hujaumbika!?
Na angemjua mzungu ni nani katika uhalisia wake asingehara kiasi hiki
Haya salimia uendako hukoHahah!!
Kwaheri
Kwa mtazamo wake anamuona bonge la queenNa mwanae sio mzuri jamani
Wacha ajijaze ujingaKwa mtazamo wake anamuona bonge la queen
Nakuona nakuona unapiga miguu yote miwiliKuwa na mama kama huyu ni hasara
Hivi kaolewa au ndio vile kwa bashiteKuwa na mama kama huyu ni hasara