jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 3,257
- 4,360
Kwako Mama Dorothy Gwajima. Natumai unaendelea vizuri na majukumu yako.
Hivi Mama Gwajima, suala la ushoga hapa nchini Tanzania unaliona linavyozidi kasi au hulioni? Nakuelekezea wewe hii mada nikiamini kabisa ni eneo unaloliweza vilivyo tu, ila siku hizi umelikalia kimya, kama halikuhusu. Nafahamu ni jambo pana, ila walau upande wako ungekuwa unalishughulikia, ingesaidia sana. Vyombo vyote husika vya serikali including wizara yako, wote mko kimya mambo yanazidi kuharibika.
Jamani hii serikali ya Samia hamuoni movements mitandaoni za ushoga zinavyozidi kutamalaki? Angalieni hasa mtandao wa TikTok. Mashoga huko wako hadharani wanajielezea kila kitu. Wanaelezea hadi wanavyofanya mapenzi. Wanavaa kike wala hawabughudhiwi hata kutishwa tu. Bado kuna vi-online TVs kibao wanahoji mashoga, content creators nao wanapush contents za ushoga!! Kwenye taarabu na vibao kata, mambo ni mashoga tu.
Jamani mbona hamtendei haki uongozi wenu? Hivi hata mnawaza uwajibikaji wenu mbele za Mungu? Au kuna order kutoka juu mkae kimya jamani? Tanzania inazidi kuharibika kwa ushoga. Inasikitisha sana sana kuona huu uRais wa Samia unafumbia macho suala la maadili, kama si one of the focus areas za serikali kabisa. Bila serikali kuwa na ukali, jamii haiwezi kitu kwenye hili suala.
Inaudhi sana. Haya endeleeni kukaa kimya, kesho mtakuwa na cha kujibu.
Jimama.
Hivi Mama Gwajima, suala la ushoga hapa nchini Tanzania unaliona linavyozidi kasi au hulioni? Nakuelekezea wewe hii mada nikiamini kabisa ni eneo unaloliweza vilivyo tu, ila siku hizi umelikalia kimya, kama halikuhusu. Nafahamu ni jambo pana, ila walau upande wako ungekuwa unalishughulikia, ingesaidia sana. Vyombo vyote husika vya serikali including wizara yako, wote mko kimya mambo yanazidi kuharibika.
Jamani hii serikali ya Samia hamuoni movements mitandaoni za ushoga zinavyozidi kutamalaki? Angalieni hasa mtandao wa TikTok. Mashoga huko wako hadharani wanajielezea kila kitu. Wanaelezea hadi wanavyofanya mapenzi. Wanavaa kike wala hawabughudhiwi hata kutishwa tu. Bado kuna vi-online TVs kibao wanahoji mashoga, content creators nao wanapush contents za ushoga!! Kwenye taarabu na vibao kata, mambo ni mashoga tu.
Jamani mbona hamtendei haki uongozi wenu? Hivi hata mnawaza uwajibikaji wenu mbele za Mungu? Au kuna order kutoka juu mkae kimya jamani? Tanzania inazidi kuharibika kwa ushoga. Inasikitisha sana sana kuona huu uRais wa Samia unafumbia macho suala la maadili, kama si one of the focus areas za serikali kabisa. Bila serikali kuwa na ukali, jamii haiwezi kitu kwenye hili suala.
Inaudhi sana. Haya endeleeni kukaa kimya, kesho mtakuwa na cha kujibu.
Jimama.