alikuwa muwazi...je alielezea jinsi alivyomnasa Charles Nyange?
We inakuusu nini?
Hacha uchawi....
alikuwa muwazi...je alielezea jinsi alivyomnasa Charles Nyange?
Huyu ni mama na mpiganaji. Ni transparent in any way!! Haogopi! Huyu ex hubby Nyange, pole sana. Pengine alikuwa goigoi maana kwa kawaida wachapakazi wowote wale wawe wanaume au wanawake hawataki magoigoi. Keep it up mama. I wish wanao wanne hata mmoja ataiga mfano wako, being a strong woman/man.
Charles Nyange ndio nani tena acha kuchafua hali ya hewa bana hah hah waswahili bana hakuna dogo mnapekua mpaka chini ya mvungu sasa akina mama lion watashindwa kutupa butamu ba maisha yao jameni
Imekula kwako! Lakini unaweza kupeleka maombi TBC1 ili wakirudie. Pole though.jamani mwenzenu sikukiona hicho kipindi sasa itakuwaje?
Hata mm sijakiona ila nimesimuliwa, nasikia kilikuwa kipindi kizuri sana....Big up kwa mtayarishaji Suzana Mungy, tuletee na wengine tena hata kama si wanasiasa tuwafahamu..Mama Lowasa, Mama Mengi, Mama Zakhia Meghji, Mama Anna Abddalla n.k
Afadhali sijasikiliza coz very unfortunately sipendi kusikia personal ishuz za watu wengine. Hapo kwenye s.i.a.s.a labda but not that much pia. hii kitu bongo hakuna ndio tunafanya rehersalDu! Mama kaongea mambo mengi sana ya siasa, maisha mpaka yale ambayo ni very personal ya past life yake na hata ya kwake na Mzee Malecela.
mume wa kwanza wa anna kilango anaitwa charles nyange. huyu bwana alikuwa finance controler wa tanzania breweries tbl miaka ya 80, na anna kilango alikuwa mwalimu wa commerce na bookkeeping kisutu sekondari. charles na anna wamezaliwa kijiji kimoja wilayani same. charles nyange ni mdogo wake elizabeth nyange yona, ambaye ni mke wa daniel yona ndhira. anna kilango anafanya makosa makubwa kuizungumzia ndoa yake iliyovunjika kwenye vyombo vya habari. ex wake akiamua kuzungumza hali ya hewa inaweza kuchafuka na kurudia yale magomvi yao ya miaka ya 80 ambayo kila mzee wa kipare hapa mjini alishindwa kuyasuluhisha. ngoja niachie hapa maana hili ni bomu lisijenilipukia mwenzenu.
Field Marshal ES,
wakale walisema, "ukiishi kwenye nyumba ya vioo kamwe usitupe mawe." masuala ya charles nyange na anna kilango ni bomu linaloweza kukulipukia watu wakapatwa na aibu kubwa mbele ya jamii. kwamba charles alimchoma anna na pasi ya moto ni habari ya kutunga. kwamba anna alimfukuza charles toka nyumba walimokuwa wakiishi ni uongo mwingine. shauri la ndoa ya charles na anna lilifika mpaka mahakamani na kama kungekuwa na masuala ya kuchomana kwa pasi basi mahakama ingeweza kumhukumu charles kwa shambulizi hilo. tatizo lako unafikiri huyu mama ni malaika hivyo kila anayemgusa hata kwa mbali lazima umshambulie kwa matusi. halafu unajidai kutuletea habari za watoto wake kututisha kwamba unamjua vizuri. wengine tuna data zao toka kwenye sherehe ya harusi yao pale ukumbi wa ifm, kabla na baada ya hapo.
...Mh!! inabidi mtangazaji anze kujifua kwanza kwenye Gym vinginevyo anaweza kula makofi akileta maswali yale chumbani...WAmwite binti Simba nae tumsikie!!
...Mh!! inabidi mtangazaji anze kujifua kwanza kwenye Gym vinginevyo anaweza kula makofi akileta maswali yale chumbani...
Field Marshal ES,
wenye busara zao hawawezi kuzungumza masuala ya ndoa ya kwanza ya anna kilango kwenye ukumbi kama jamii forums. anna naye anakosa busara kama mwanasiasa kumzungumzia mtalaka wake kwenye vyombo vya habari. kama wewe na anna kilango mnaona ni ujanja endeleeni.
- Ngoja nijaribu kukuelewa, eti wenye busara zao hawawezi kuzungumzia ndoa zao hapa JF, lakini na wewe mwenyewe uko mstari wa mbele kuzungumzia ndoa ya mama huyo huyo vipi mkuu are you okay au?
kuhusu facts wewe ndiye uliyeleta uongo kwamba anna kilango alimfukuza mumewe toka kwenye nyumba. nikakueleza kwamba suala hilo lilienda mahakamani, sasa umerudi na kurekebisha post yako. kama mama alichomwa kwa pasi mahakama ilikuwa na uwezo wa kushughulikia suala hilo kama jinai. hapo inaonyesha kwamba unasema uongo.
- Toka umeanza unarudia yale yale niliyoyasema mimi hujasema anything new kwa mtu mwenye dataz zake kama ulivyodai mwanzoni, acha majungu mkuu Mama yuko mbali sana na hizo filimbi zako, mama alimpeleka Nyange kwenye sheria kudai talaka na kudai nyumba ili alelee watoto wanne, na mpaka leo anayo hiyo nyumba pale Kinondoni, karibu na Open University.
- Ya kuchomwa na pasi yaliishia kumalizwa nje ya sheria, lakini hilo wala sina sababu ya kushindana na wewe kwa sababu sio siri kwamba huna lolote ila ni mimi sasa ndiye ninayekupa info, acha hizo mkuu it is about time sasa ukaongelea na ya kwako mbona unayo mengi sana ya ajabu na wanaokuhusu pia, acha majungu wewe ni mtumzima sasa!
mwisho, hii damage contol unayofanya hapa inatokana na mama kilango kukosa umakini na kuanza kuzungumzia masuala yake ya zamani. mshauri ajikite zaidi kwenye present, maisha yake kama mbunge, mke wa mh.john malecela, na bibi kwasababu sasa ana wajukuu, na uchaguzi wa 2010.
- Mbona unaweweseka sana, Mama Kilango anamfanyia nani damage control? Wewe? kukosa umakini ni pale kila jina la mama likitajwa unakosa usingizi na kulala hapa kumtukana bila sababu, wakati wewe mwenyewe yamekufika shingoni, hakuna cha damage control wala anything kiongozi yoyote wa taifa ana haki ya kuzungumzia maisha yake, tumesoma maisha ya Nyerere sasa unasema na yeye alikuwa anatafuta damage control kwa kuyasema maisha yake jinsi alivyokulia kijijini na kusoma kwa shida!
- Huu unaoutoa ni ushauri wa siasa za wapi hizo mkuu? Background ya mama inatakiwa iwekwe kwenye vitabu ili kusaidia kina mama wanyonge ambao wanaonewa kila siku na wajinga wanaodhani mwanamke ni object ya kuchezea kama mpira, huu ushauri wako baki nao mwenyewe mkuu Mama kilango hahuitaji hata kidogo, ni mwanasiasa gani anayeficha background yake?
- Eti ajikite kwenye present are you serious? hivi kuna present bila ya kujua the past ilikuwaje? Mkuu acha hizi, Mama Kilango ni mbunge wa kuchaguliwa na wanachi, wamemchagua kwa kumuondoa the sitting Waziri wa jamhuri tena a powerful and rich one kama Yona, na toka ashike ubunge amewafanyia mengi sana wananchi wa jimbo lake na bado yanazidi kumimnika na wala hana mpinzani kwenye huu uchaguzi labda uwe wewe!
es!