Wapinzani Kualikwa TBC. Zitto Kabwe Aalikwa Live Program TBC. Hongera TBC, Hongera Dr. Ayub Rioba, Huu ni Uthibitisho Sasa TBC ni TV ya Taifa ya Wote!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,337
113,181
Wanabodi,

Kwa watu wasiojua mambo ya utangazaji na haswa live programs mnaweza msielewe msingi wa pongezi zangu, kwa vile mimi ni Mtangazaji na nilifanyia kazi, TBC, I know what it takes kumualika mpinzani Vocal kama Zitto Kabwe kwenye a live program ya TV, hivyo hizi hongera zangu kwa TBC na kwa Dr. Ayub Rioba Chacha ni hongera bonafide genuine,

Kitendo cha wapinzani kualikwa TBC kwenye live program, chataka moyo. Kwa msiomjua ni moyo gani, naomba tembelea bandiko hili,uone kilitokea nini kwenye live ya chama hiki

Hivyo kitendo cha mpinzani Zitto Kabwe kualikwa kwenye a Live Program ya TBC, TBC unastahili hongera za that, hongera sana TBC, ila pia hongera sana kwa Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dr. Ayub Rioba, huu ni uthibitisho kuwa sasa TBC ni TV ya Taifa kiukweli ukweli sio TV ya serikali tuu, au TV ya CCM, ni TV ya Wote!. Kwa bandiko hili, lile jina la utani la TBCCM sasa life!.

Kwa maoni yangu, hili limewezekana kufuatia mwelekeo wa the Editor in Chief wa TBC, Rais Samia kuhusu mwelekeo na mustakabali mwema wa taifa letu, umeanza kuzaa matunda, Baada ya Rais Samia, kukubali kuzungumza na wapinzani Dodoma, alipokwenda Ubelgiji akakutana na Tundu Lissu, aliporejea nchini, akamwachia Freeman Mbowe, na mara baada tuu ya kuachiwa, breki ya kwanza ya Mbowe, ikawa ni kubisha hodi Ikulu, kumshukuru Mama Samia. Juzi kati kabla ya Kikao cha Baraza Kuu Chadema, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, alikwenda Ikulu kumuona Rais Mama Samia, Rais Mama Samia akiwa ziarani Tabora, Alimwalika Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba kuhutubia mkutano wa rais!.Jana kawakaribisha Chadema Ikulu ya Chanwino.

Leo nilikuwa naangalia kipindi cha Mizani, TBC, ambacho ni kipindi cha Dr. Ayub Rioba, Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe, amealikwa akiwa na a political veteran, Mzee Stephen Masatu Wasira. Kiukweli kipindi kilikuwa kizuri, wameizungumzia mambo mengi makubwa ya msingi.
Karibu uangalie kipindi hiki hapa

Mpinzani vocal kama Zitto Kabwe, kualikwa kipindi cha TBC sio mchezo!. Hata Tundu Lissu na Godbless Lema wakirejea nyumbani wana alikika.

Big up sana kwa TBC
Paskali
 
Wanabodi,

Kwa watu wasiojua mambo ya utangazaji na haswa live programs mnaweza msielewe msingi wa pongezi zangu, kwa vile mimi ni Mtangazaji na nilifanyia kazi, TBC, I know what it takes kumualika mpinzani Vocal kama Zitto Kabwe kwenye a live program ya TV, hivyo hizi hongera zangu kwa TBC na kwa Dr. Ayub Rioba Chacha ni hongera bonafide genuine,

Kitendo cha wapinzani kualikwa TBC kwenye live program, chataka moyo. Kwa msiomjua ni moyo gani, naomba tembelea bandiko hili,uone kilitokea nini kwenye live ya chama hiki

Hivyo kitendo cha mpinzani Zitto Kabwe kualikwa kwenye a Live Program ya TBC, TBC unastahili hongera za that, hongera sana TBC, ila pia hongera sana kwa Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dr. Ayub Rioba, huu ni uthibitisho kuwa sasa TBC ni TV ya Taifa kiukweli ukweli sio TV ya serikali tuu, au TV ya CCM, ni TV ya Wote!. Kwa bandiko hili, lile jina la utani la TBCCM sasa life!.

Kwa maoni yangu, hili limewezekana kufuatia mwelekeo wa the Editor in Chief wa TBC, Rais Samia kuhusu mwelekeo na mustakabali mwema wa taifa letu, umeanza kuzaa matunda, Baada ya Rais Samia, kukubali kuzungumza na wapinzani Dodoma, alipokwenda Ubelgiji akakutana na Tundu Lissu, aliporejea nchini, akamwachia Freeman Mbowe, na mara baada tuu ya kuachiwa, breki ya kwanza ya Mbowe, ikawa ni kubisha hodi Ikulu, kumshukuru Mama Samia. Juzi kati kabla ya Kikao cha Baraza Kuu Chadema, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, alikwenda Ikulu kumuona Rais Mama Samia, Rais Mama Samia akiwa ziarani Tabora, Alimwalika Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba kuhutubia mkutano wa rais!.Jana kawakaribisha Chadema Ikulu ya Chanwino.

Leo nilikuwa naangalia kipindi cha Mizani, TBC, ambacho ni kipindi cha Dr. Ayub Rioba, Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe, amealikwa akiwa na a political veteran, Mzee Stephen Masatu Wasira. Kiukweli kipindi kilikuwa kizuri, wameizungumzia mambo mengi makubwa ya msingi.
Karibu uangalie kipindi hiki hapa

Mpinzani vocal kama Zitto Kabwe, kualikwa kipindi cha TBC sio mchezo!. Hata Tundu Lissu na Godbless Lema wakirejea nyumbani wana alikika.

Big up sana kwa TBC
Paskali

Maendeleo hayana chama
 
Wanabodi,

Kwa watu wasiojua mambo ya utangazaji na haswa live programs mnaweza msielewe msingi wa pongezi zangu, kwa vile mimi ni Mtangazaji na nilifanyia kazi, TBC, I know what it takes kumualika mpinzani Vocal kama Zitto Kabwe kwenye a live program ya TV, hivyo hizi hongera zangu kwa TBC na kwa Dr. Ayub Rioba Chacha ni hongera bonafide genuine,

Kitendo cha wapinzani kualikwa TBC kwenye live program, chataka moyo. Kwa msiomjua ni moyo gani, naomba tembelea bandiko hili,uone kilitokea nini kwenye live ya chama hiki

Hivyo kitendo cha mpinzani Zitto Kabwe kualikwa kwenye a Live Program ya TBC, TBC unastahili hongera za that, hongera sana TBC, ila pia hongera sana kwa Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dr. Ayub Rioba, huu ni uthibitisho kuwa sasa TBC ni TV ya Taifa kiukweli ukweli sio TV ya serikali tuu, au TV ya CCM, ni TV ya Wote!. Kwa bandiko hili, lile jina la utani la TBCCM sasa life!.

Kwa maoni yangu, hili limewezekana kufuatia mwelekeo wa the Editor in Chief wa TBC, Rais Samia kuhusu mwelekeo na mustakabali mwema wa taifa letu, umeanza kuzaa matunda, Baada ya Rais Samia, kukubali kuzungumza na wapinzani Dodoma, alipokwenda Ubelgiji akakutana na Tundu Lissu, aliporejea nchini, akamwachia Freeman Mbowe, na mara baada tuu ya kuachiwa, breki ya kwanza ya Mbowe, ikawa ni kubisha hodi Ikulu, kumshukuru Mama Samia. Juzi kati kabla ya Kikao cha Baraza Kuu Chadema, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, alikwenda Ikulu kumuona Rais Mama Samia, Rais Mama Samia akiwa ziarani Tabora, Alimwalika Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba kuhutubia mkutano wa rais!.Jana kawakaribisha Chadema Ikulu ya Chanwino.

Leo nilikuwa naangalia kipindi cha Mizani, TBC, ambacho ni kipindi cha Dr. Ayub Rioba, Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe, amealikwa akiwa na a political veteran, Mzee Stephen Masatu Wasira. Kiukweli kipindi kilikuwa kizuri, wameizungumzia mambo mengi makubwa ya msingi.
Karibu uangalie kipindi hiki hapa

Mpinzani vocal kama Zitto Kabwe, kualikwa kipindi cha TBC sio mchezo!. Hata Tundu Lissu na Godbless Lema wakirejea nyumbani wana alikika.

Big up sana kwa TBC
Paskali
Mzee Unahangaika kupongeza lakini hakuna TEUZI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Tibisi ukweli na uhakika.......Tido angeipeleka mbali sana.........ila ushamba wetu ndiyo unaifanya iwe hapo na kushangiliwa kisa kaarikwa ndugu nyepesi
 
nyepesi hana hoja kuwa mtawala wa Chama with absolute powers halafu unazungumzia demokrasia hata haueleweki.
 
Wanabodi,

Kwa watu wasiojua mambo ya utangazaji na haswa live programs mnaweza msielewe msingi wa pongezi zangu, kwa vile mimi ni Mtangazaji na nilifanyia kazi, TBC, I know what it takes kumualika mpinzani Vocal kama Zitto Kabwe kwenye a live program ya TV, hivyo hizi hongera zangu kwa TBC na kwa Dr. Ayub Rioba Chacha ni hongera bonafide genuine,

Kitendo cha wapinzani kualikwa TBC kwenye live program, chataka moyo. Kwa msiomjua ni moyo gani, naomba tembelea bandiko hili,uone kilitokea nini kwenye live ya chama hiki

Hivyo kitendo cha mpinzani Zitto Kabwe kualikwa kwenye a Live Program ya TBC, TBC unastahili hongera za that, hongera sana TBC, ila pia hongera sana kwa Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dr. Ayub Rioba, huu ni uthibitisho kuwa sasa TBC ni TV ya Taifa kiukweli ukweli sio TV ya serikali tuu, au TV ya CCM, ni TV ya Wote!. Kwa bandiko hili, lile jina la utani la TBCCM sasa life!.

Kwa maoni yangu, hili limewezekana kufuatia mwelekeo wa the Editor in Chief wa TBC, Rais Samia kuhusu mwelekeo na mustakabali mwema wa taifa letu, umeanza kuzaa matunda, Baada ya Rais Samia, kukubali kuzungumza na wapinzani Dodoma, alipokwenda Ubelgiji akakutana na Tundu Lissu, aliporejea nchini, akamwachia Freeman Mbowe, na mara baada tuu ya kuachiwa, breki ya kwanza ya Mbowe, ikawa ni kubisha hodi Ikulu, kumshukuru Mama Samia. Juzi kati kabla ya Kikao cha Baraza Kuu Chadema, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, alikwenda Ikulu kumuona Rais Mama Samia, Rais Mama Samia akiwa ziarani Tabora, Alimwalika Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba kuhutubia mkutano wa rais!.Jana kawakaribisha Chadema Ikulu ya Chanwino.

Leo nilikuwa naangalia kipindi cha Mizani, TBC, ambacho ni kipindi cha Dr. Ayub Rioba, Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe, amealikwa akiwa na a political veteran, Mzee Stephen Masatu Wasira. Kiukweli kipindi kilikuwa kizuri, wameizungumzia mambo mengi makubwa ya msingi.
Karibu uangalie kipindi hiki hapa

Mpinzani vocal kama Zitto Kabwe, kualikwa kipindi cha TBC sio mchezo!. Hata Tundu Lissu na Godbless Lema wakirejea nyumbani wana alikika.

Big up sana kwa TBC
Paskali

zito siyo mpinzani mkuu
wapinzani waliopigwa risasi ambao wewe ulitilia shaka hata dereva
 
Katika kitu ambacho sipendi kuangalia ni wale political and diplomatic relations analysts wanaoalikwa tbc na ndio hualikwa azam. Yaani unaona hata mtoto mdogo anaweza kuchambua japo wao wametumia muda mrefu kusoma.
Rioba kuna kipindi live alisema- alialika mwanamajumui kutoka SA kisa tu amemuelewa kwa sababu anaendana na philosophy ya JPM
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom