Kwamba hata iweje!
Haipo shaka nia njema kutokea kwa mama haipo na haiwezi kuwa sahihi kusema huo ndiyo ulio msimamo wa CCM au serikali yake yote.
"Samaki mmoja akioza haliwezi kuwa tenga lote."
Kuwa leo Lissu yuko Ukonga, ila waliowateka kina Mdude, Soka, nk wako huru? Waliowatendea unyama kina mzee Kibao wako huru? Walioratibu na kutekeleza shambulizi dhidi ya father Kitima wako huru? Nakadhalika, Looh!
Kwamba CHADEMA chama cha ukombozi hatimaye kimerejea mikononi mwa wananchi wenyewe?
Haiwezi kuwa habari njema kwa mama au washirika wao. Kwamba ni nia yao kutoridhia mabadiliko yanayoweza kufanikisha upatikanaji wa ridhaa za wananchi kuhusiana na nchi inavyoendeshwa kwa njia za haki?
Kukataa mabadiliko kwa ajili ya kupata ridhaa za haki kutoka kwa wananchi, huo ni uhaini. "Mahaini wako huru na mpigania haki kupinga uhaini yuko gerezani kwa kuupinga uhaini wa mahaini." -- Askofu Bagonza.
Haipo shaka utakuwa ni mpango ulio muhimu zaidi kwao kuwaondoa ulingoni Lissu na sasa Heche na wengine wote wanaondeleza harakati hizi kwa moyo. Kwamba hiyo iwe ni kwa namna yoyote, ikiwamo vifo au hata vifungo japo hadi baada ya uchaguzi, labda October huko!
Haya mapambano hayawezi kuwa ya muda mfupi au ya mtu mmoja mmoja. Ni lazima kujizatiti zaidi kiungozi, kwa mapambano endelevu na ya muda mrefu.
Miti itakatwa sana. Kila watakapokata mti ni shuruti kuwe na mbadala, moto wa kuotea mbali (firebrand) kukamata usukani.
"One down, two to go." -- Alisema beberu.
Aluta continua!
Pia soma: Katiba Mpya: Mapambano yako katika Hatua za Mwisho
Haipo shaka nia njema kutokea kwa mama haipo na haiwezi kuwa sahihi kusema huo ndiyo ulio msimamo wa CCM au serikali yake yote.
"Samaki mmoja akioza haliwezi kuwa tenga lote."
Kuwa leo Lissu yuko Ukonga, ila waliowateka kina Mdude, Soka, nk wako huru? Waliowatendea unyama kina mzee Kibao wako huru? Walioratibu na kutekeleza shambulizi dhidi ya father Kitima wako huru? Nakadhalika, Looh!
Kwamba CHADEMA chama cha ukombozi hatimaye kimerejea mikononi mwa wananchi wenyewe?
Haiwezi kuwa habari njema kwa mama au washirika wao. Kwamba ni nia yao kutoridhia mabadiliko yanayoweza kufanikisha upatikanaji wa ridhaa za wananchi kuhusiana na nchi inavyoendeshwa kwa njia za haki?
Kukataa mabadiliko kwa ajili ya kupata ridhaa za haki kutoka kwa wananchi, huo ni uhaini. "Mahaini wako huru na mpigania haki kupinga uhaini yuko gerezani kwa kuupinga uhaini wa mahaini." -- Askofu Bagonza.
Haipo shaka utakuwa ni mpango ulio muhimu zaidi kwao kuwaondoa ulingoni Lissu na sasa Heche na wengine wote wanaondeleza harakati hizi kwa moyo. Kwamba hiyo iwe ni kwa namna yoyote, ikiwamo vifo au hata vifungo japo hadi baada ya uchaguzi, labda October huko!
Haya mapambano hayawezi kuwa ya muda mfupi au ya mtu mmoja mmoja. Ni lazima kujizatiti zaidi kiungozi, kwa mapambano endelevu na ya muda mrefu.
Miti itakatwa sana. Kila watakapokata mti ni shuruti kuwe na mbadala, moto wa kuotea mbali (firebrand) kukamata usukani.
"One down, two to go." -- Alisema beberu.
Aluta continua!
Pia soma: Katiba Mpya: Mapambano yako katika Hatua za Mwisho

