Kwa sababu mzazi wake ana mtindio wa ubongo hawezi saidia mtoto Wake.Darasa la tano twisheni ya nini?
Majukumu mkuu.Kwa sababu mzazi wake ana mtindio wa ubongo hawezi saidia mtoto Wake.
Hii haiwezi kuwa sababu.Kwa sababu mzazi wake ana mtindio wa ubongo hawezi saidia mtoto Wake.
🤣🤣🤣Umenikumbusha miaka ya 2007 niliona nifundishe vitoto vya geti kali nipate vocha, nilienda siku moja tu sikyrudi, kwa vile navifundisha vyenyewe vinachukua kalamu vikuingize sikioni, mara vikuvizie vikurushie chaki. Malezi ya bundi yale