Toka lini LOWASSA akawa mdau wa soka? Monduli hata uwanja wa mpira hakuna acha timu.........Arusha hakuna timu kwenye VPL
Zipo sababu kwa nini alipe kwa less take: yeye ndo ameomba kuvunja mkataba name Paulsen wala TFF. Lambda hoja ingekuwa kwanini ameomba kuvunja mkataba
Kila cku mi nasema malinzi ni mbabaishaji lkn majitu mabishi,yaani anairudisha TFF ya ndolanga. Mi namshauri akajishughulishe na golf
Kwenye ile thread yake nilimuuliza alifuata nini kwa Lowassa na hajajibu mpaka leo.............mbabaishaji tu.......unamuondoa Paulsen na kumpa timu Madadi?
![]()
nimeshtuka sana leo asubuhi, baada ya kusikia taarifa katika kituo cha rfa kipindi cha matukio -michezo kuwa jamal malinzi rais wa tff atatoa pesa zake mfukoni kufidia malipo ya kukatisha mkataba wa kocha wa timu ya taifa ndugu poulsen.
Hapa ndo naanza kuona harufu ya ufisadi hapa na kwa sababujamal malinzi yuko humu basi ntamuomba aje kutoa ufafanuzi wa yafuatayo.
- ukiwa kama rais wa tff, je shirikisho lina mgogoro wa kifedha kiasi kwamba haliwezi kabisa kulipa fidia hiyo?
- je huoni kwamba unatujemgea wasiwasi kua unajenga mazingira ya kujilipa hapo baadaye, tena zaidi kwa njia zisizo halali?
- je hii sio njia ya kuwa intimidate viongozi wengine ili waogope kuhoji baadhi ya matumizi yako ya pesa kwa kuwa tu umeanza na visingizio vya kutumia pesa zako binafsi.
- je huoni kuwa hii ni conflict of interest?? Kwa nini utumie pesa yako tena bila kuutangazia uma ni kiasi gani wakati shirikisho lina uwezo wa kulipa pia
- kama kweli una nia hiyo thabiti, kwa nini msiwatangazie wana michezo kiasi halisi unachojitolea wewe mfukoni mwako... Na kiasi anachodai poulsen
ndugu jamal malinzi, kwa watu wanaofanya "critical thinking" hii ni njia mojawapo inayotumiwa ni viongozi kujenga mazingira ya ufisadi hapo baadaye.
Tunakumbuka miaka ta tisini "ccm" iishindwa kuwalipa watumishi wake mikoani kwa takribani miezi sita, mpaka rostam aziz alipojitolea pesa zake mfukoni na kuipa ccm ili iwalipe watumishi (nilikua pia ccm wakati huo so najua hili) lakini wote tunajua jinsi gani alijilipa hizo pesa na zaidi. Mifano ya namna hii ni mingi sana.
Tupe hoja zako, unajipambanuaje katika hili??la sivyo ni kujenga mazingira ya ufisadi tuuu.
tukumbushe tenga alipomkabidhi malinzi AC ya TFF ilikua na SH ngapi?? au umekurupuka??
Pia atupe mchanganua..yeye katoa sh ngapi na Wadau wametoa sh ngapi??
Haya mambo ya wadau haya ndo utaskia tenda ya TFF kapewa fulani kisa alitoa pesa ya kumfidia POULSEN. Mbona wakati wa TENGA Tff ilipokwama alitangaza na weananchi wote tukaanza kuichangia Timu yetu ya taifa mpaka ikaweza kwenda senegal, cameroon na pia posho za wachezaji zikapatikana. sasa hao wadau ni kina nani au ni yeye na DIONIZ??
Tff ni shirikisho la wananchi si wadau mkuu, hakuna sekata, wala institution inayoitwa WADAU hapa TZ ni UHUNI tu
Anatoa hela mfukoni kwani yeye Mbowe??? Haya mambo yana watu wake Mbowe, Rostam n.k
Zipo sababu kwa nini alipe kwa less take: yeye ndo ameomba kuvunja mkataba name Paulsen wala TFF. Lambda hoja ingekuwa kwanini ameomba kuvunja mkataba
Malinzi ni hatari sana
Anayejishughulisha na Gofu Siyo Jamal Bali Ni Kaka Yake Dioniz wa BMT.
Hapana mkuu Safari_ni_Safari, rekebisha hapo kwenye red. Ipo OLJORO JKT.
Kuna makabila mawili ukimkuta Muhaya kasoma nani boss ni tabu sanaaaaa atakuwa anafanyakazi zote peke yake, au muha ni tabu sanaaaaaa.....
Nasema akajishughulishe na golf sbb kwa kushirikiana na kaka yake dioniz wamejenga viwanja vzr vya golf huko kwao misenyi as family investment, we hukuona ile thread yao ya viwanja vya golf hapa hapa jf last two weeks? Kwahy yupo interested na golf zaidi
Sina uhakika kama nimekuelewa vizuri lakini nami pia nimemsikia jana jioni (nadhani BBC) akiulizwa swali juu ya gharama za kukatisha mkataba. Alijibu yeye mwenyewe na alisema kuwa huyu kocha ana mkataba na serikali lakini serikali haitawajibika kulipa hizo gharama bali kuna wadau wa michezo walioko tayari kuchangia na kulipa hiyo pesa. Sina uhakika kama naye ni miongoni mwa hao!
- kama kweli una nia hiyo thabiti, kwa nini msiwatangazie wana michezo kiasi halisi unachojitolea wewe mfukoni mwako... na kiasi anachodai Poulsen
Soka inajumuisha wadau wengi na ni kivutio cha wengi mkuu. Ndoano ni yeye,chambo ni soka na samaki ni wapenda soka!!!!!!
Nani anapenda samaki????!!!!