Malinzi acha kutudanganya , tena acha.

Malinzi acha kutudanganya , tena acha.

SONGOKA

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
1,836
Reaction score
1,846
Nimeshtuka sana leo asubuhi, baada ya kusikia taarifa katika kituo cha RFA kipindi cha MATUKIO -michezo kuwa Jamal Malinzi Rais wa TFF atatoa pesa zake mfukoni kufidia malipo ya kukatisha mkataba wa Kocha wa timu ya taifa ndugu Poulsen.

Hapa ndo naanza kuona harufu ya ufisadi hapa na kwa sababuJamal Malinzi yuko humu basi ntamuomba aje kutoa ufafanuzi wa yafuatayo.

  • Ukiwa kama Rais wa TFF, Je shirikisho lina mgogoro wa kifedha kiasi kwamba haliwezi kabisa kulipa fidia hiyo?
  • Je huoni kwamba unatujemgea wasiwasi kua unajenga mazingira ya kujilipa hapo baadaye, tena zaidi kwa njia zisizo halali?
  • Je hii sio njia ya kuwa intimidate viongozi wengine ili waogope kuhoji baadhi ya matumizi yako ya pesa kwa kuwa tu umeanza na visingizio vya kutumia pesa zako Binafsi.
  • Je huoni kuwa hii ni conflict of interest?? Kwa nini utumie Pesa yako tena bila kuutangazia uma ni kiasi gani wakati shirikisho lina uwezo wa kulipa pia
  • kama kweli una nia hiyo thabiti, kwa nini msiwatangazie wana michezo kiasi halisi unachojitolea wewe mfukoni mwako... na kiasi anachodai Poulsen


Ndugu Jamal Malinzi, kwa watu wanaofanya "critical thinking" hii ni njia mojawapo inayotumiwa ni viongozi kujenga mazingira ya UFISADI hapo baadaye.

Tunakumbuka miaka ta tisini "CCM" iishindwa kuwalipa watumishi wake mikoani kwa takribani miezi sita, mpaka ROSTAM AZIZ alipojitolea pesa zake mfukoni na kuipa CCM ili iwalipe watumishi (nilikua pia CCM wakati huo so najua hili) lakini wote tunajua jinsi gani alijilipa hizo pesa na zaidi. mifano ya namna hii ni mingi sana.

Tupe hoja zako, unajipambanuaje katika hili??la sivyo ni kujenga mazingira ya ufisadi tuuu.
 
Last edited by a moderator:
Nimeshtuka sana leo asubuhi, baada ya kusikia taarifa katika kituo cha RFA kipindi cha MATUKIO -michezo kuwa Jamal Malinzi Rais wa TFF atatoa pesa zake mfukoni kufidia malipo ya kukatisha mkataba wa Kocha wa timu ya taifa ndugu Poulsen.

Hapa ndo naanza kuona harufu ya ufisadi hapa na kwa sababu [MENTION]J Malinzi[/MENTION] yuko humu basi ntamuomba aje kutoa ufafanuzi wa yafuatayo.

  • Ukiwa kama Rais wa TFF, Je shirikisho lina mgogoro wa kifedha kiasi kwamba haliwezi kabisa kulipa fidia hiyo?
  • Je huoni kwamba unatujemgea wasiwasi kua unajenga mazingira ya kujilipa hapo baadaye, tena zaidi kwa njia zisizo halali?
  • Je hii sio njia ya kuwa intimidate viongozi wengine ili waogope kuhoji baadhi ya matumizi yako ya pesa kwa kuwa tu umeanza na visingizio vya kutumia pesa zako Binafsi.
  • Je huoni kuwa hii ni conflict of interest?? Kwa nini utumie Pesa yako tena bila kuutangazia uma ni kiasi gani wakati shirikisho lina uwezo wa kulipa pia
  • kama kweli una nia hiyo thabiti, kwa nini msiwatangazie wana michezo kiasi halisi unachojitolea wewe mfukoni mwako... na kiasi anachodai Poulsen


Ndugu malinzi, kwa watu wanaofanya "critical thinking" hii ni njia mojawapo inayotumiwa ni viongozi kujenga mazingira ya UFISADI hapo baadaye.

Tunakumbuka miaka ta tisini "CCM" iishindwa kuwalipa watumishi wake mikoani kwa takribani miezi sita, mpaka ROSTAM AZIZ alipojitolea pesa zake mfukoni na kuipa CCM ili iwalipe watumishi (nilikua pia CCM wakati huo so najua hili) lakini wote tunajua jinsi gani alijilipa hizo pesa na zaidi. mifano ya namna hii ni mingi sana

Tupe hoja zako, unajipambanuaje katika hili??la sivyo ni kujenga mazingira ya ufisadi tuuu

Kila cku mi nasema malinzi ni mbabaishaji lkn majitu mabishi,yaani anairudisha TFF ya ndolanga. Mi namshauri akajishughulishe na golf
 
Huyo rais wa TFF ni mhuni tu na tutegemee soka la bongo kurud nyuma enz za mzee ndolanga
 
Huyo rais wa TFF ni mhuni tu na tutegemee soka la bongo kurud nyuma enz za mzee ndolanga

nimesikia pia TFF ndo imechagua kikosi cha timu ya TAIFA?? seriously???
 
Ngoja tusubiri majibu yake, mm nakumbuka ktk ule uzi wa maswali aliulizwa maswali takribani 8 ayajibu juu ya Ukabila ndani ya TFF matokeo yake hakujibu hata moja yeye akendelea na maswali mengine. Mm ninaamini kujenga Soka la Tz kwa mfumo huu wa kutimua makocha ili ujitengenezee Jina itakuwa ngumu sana.
 
Kosa la Kim ni nini? Kwanini atimuliwe? Malinzi ni Mbabaishaji tu kama hatukufika mbali na Tenga tusitegemee kwenda popote na huyu Ndolanga Mpya
 
Kasema yeye na wadau wapenda soka wanajitgolea kumlipa paulsen,jamani watanzania tuache maneno maneno jutifunze kujitolea ni kweli tff kifedha aipo vizuri na paulsen anadai 160,000,000 toa basi njia mbadala wa kupata pesa ya kumfidia sio kueneza majungu
 
Kasema yeye na wadau wapenda soka wanajitgolea kumlipa paulsen,jamani watanzania tuache maneno maneno jutifunze kujitolea ni kweli tff kifedha aipo vizuri na paulsen anadai 160,000,000 toa basi njia mbadala wa kupata pesa ya kumfidia sio kueneza majungu

tukumbushe tenga alipomkabidhi malinzi AC ya TFF ilikua na SH ngapi?? au umekurupuka??

Pia atupe mchanganua..yeye katoa sh ngapi na Wadau wametoa sh ngapi??

Haya mambo ya wadau haya ndo utaskia tenda ya TFF kapewa fulani kisa alitoa pesa ya kumfidia POULSEN. Mbona wakati wa TENGA Tff ilipokwama alitangaza na weananchi wote tukaanza kuichangia Timu yetu ya taifa mpaka ikaweza kwenda senegal, cameroon na pia posho za wachezaji zikapatikana. sasa hao wadau ni kina nani au ni yeye na DIONIZ??

Tff ni shirikisho la wananchi si wadau mkuu, hakuna sekata, wala institution inayoitwa WADAU hapa TZ ni UHUNI tu
 
Anatoa hela mfukoni kwani yeye Mbowe??? Haya mambo yana watu wake Mbowe, Rostam n.k
 
Kila cku mi nasema malinzi ni mbabaishaji lkn majitu mabishi,yaani anairudisha TFF ya ndolanga. Mi namshauri akajishughulishe na golf

Kwenye ile thread yake nilimuuliza alifuata nini kwa Lowassa na hajajibu mpaka leo.............mbabaishaji tu.......unamuondoa Paulsen na kumpa timu Madadi?

PIC.JPG
 
Bosi mnene Jamal Malinzi unatafutwa huku na wadau ujibu tuhuma zako.

Nimeshtuka sana leo asubuhi, baada ya kusikia taarifa katika kituo cha RFA kipindi cha MATUKIO -michezo kuwa Jamal Malinzi Rais wa TFF atatoa pesa zake mfukoni kufidia malipo ya kukatisha mkataba wa Kocha wa timu ya taifa ndugu Poulsen.

Hapa ndo naanza kuona harufu ya ufisadi hapa na kwa sababu Jamal Malinzi yuko humu basi ntamuomba aje kutoa ufafanuzi wa yafuatayo.

  • Ukiwa kama Rais wa TFF, Je shirikisho lina mgogoro wa kifedha kiasi kwamba haliwezi kabisa kulipa fidia hiyo?
  • Je huoni kwamba unatujemgea wasiwasi kua unajenga mazingira ya kujilipa hapo baadaye, tena zaidi kwa njia zisizo halali?
  • Je hii sio njia ya kuwa intimidate viongozi wengine ili waogope kuhoji baadhi ya matumizi yako ya pesa kwa kuwa tu umeanza na visingizio vya kutumia pesa zako Binafsi.
  • Je huoni kuwa hii ni conflict of interest?? Kwa nini utumie Pesa yako tena bila kuutangazia uma ni kiasi gani wakati shirikisho lina uwezo wa kulipa pia
  • kama kweli una nia hiyo thabiti, kwa nini msiwatangazie wana michezo kiasi halisi unachojitolea wewe mfukoni mwako... na kiasi anachodai Poulsen


Ndugu malinzi, kwa watu wanaofanya "critical thinking" hii ni njia mojawapo inayotumiwa ni viongozi kujenga mazingira ya UFISADI hapo baadaye.

Tunakumbuka miaka ta tisini "CCM" iishindwa kuwalipa watumishi wake mikoani kwa takribani miezi sita, mpaka ROSTAM AZIZ alipojitolea pesa zake mfukoni na kuipa CCM ili iwalipe watumishi (nilikua pia CCM wakati huo so najua hili) lakini wote tunajua jinsi gani alijilipa hizo pesa na zaidi. mifano ya namna hii ni mingi sana

Tupe hoja zako, unajipambanuaje katika hili??la sivyo ni kujenga mazingira ya ufisadi tuuu
 
Last edited by a moderator:
Kasema yeye na wadau wapenda soka wanajitgolea kumlipa paulsen,jamani watanzania tuache maneno maneno jutifunze kujitolea ni kweli tff kifedha aipo vizuri na paulsen anadai 160,000,000 toa basi njia mbadala wa kupata pesa ya kumfidia sio kueneza majungu

Tunaangalia sustainability ya jinsi ya kutatua matatizo katika taasisi na hii yake haina sifa hizo!!!
 
Kasema yeye na wadau wapenda soka wanajitgolea kumlipa paulsen,jamani watanzania tuache maneno maneno jutifunze kujitolea ni kweli tff kifedha aipo vizuri na paulsen anadai 160,000,000 toa basi njia mbadala wa kupata pesa ya kumfidia sio kueneza majungu

Hata hivyo, Tenga alisema leo hii kiasi cha Sh. 664,000,000 kimehamishwa kutoka kwenye Akaunti za TBL kwenda kwenye Akaunti za TFF. Fedha hizo zitakuwa tayari kwenye Akaunti ya TFF ifikapo Jumanne wiki ijayo. Malipo haya yalikuwa yafanyike karibu miezi miwili iliyopita lakini yalicheleweshwa ili kutoa nafasi kwa zoezi la ukaguzi wa fedha za udhamini wa TBL kufanyika.
Tenga alisema zoezi limefanyika vyema na kufikia ukingoni, ndiyo maana malipo yamefanyika. Malipo mengine yanayofanana na hayo, ya Sh. 672,000,000 yanatarajiwa kufanyika wiki mbili kutoka sasa

haya 35,000,000 zilikua kwa AC
TBL walitoa 664 000 000 + 672 000 000

Jumla 1, 371,000,000

alizoachiwa na tenga, bado kuna makusanyo wamefanya. SASA hizo za wadau kulipa 120,000,000 zimetoka wapi ka si ufisadi

 
Kila cku mi nasema malinzi ni mbabaishaji lkn majitu mabishi,yaani anairudisha TFF ya ndolanga. Mi namshauri akajishughulishe na golf

Zipo sababu kwa nini alipe kwa less take: yeye ndo ameomba kuvunja mkataba name Paulsen wala TFF. Lambda hoja ingekuwa kwanini ameomba kuvunja mkataba
 
Nimeshtuka sana leo asubuhi, baada ya kusikia taarifa katika kituo cha RFA kipindi cha MATUKIO -michezo kuwa Jamal Malinzi Rais wa TFF atatoa pesa zake mfukoni kufidia malipo ya kukatisha mkataba wa Kocha wa timu ya taifa ndugu Poulsen.

Hapa ndo naanza kuona harufu ya ufisadi hapa na kwa sababuJamal Malinzi yuko humu basi ntamuomba aje kutoa ufafanuzi wa yafuatayo.

  • Ukiwa kama Rais wa TFF, Je shirikisho lina mgogoro wa kifedha kiasi kwamba haliwezi kabisa kulipa fidia hiyo?
  • Je huoni kwamba unatujemgea wasiwasi kua unajenga mazingira ya kujilipa hapo baadaye, tena zaidi kwa njia zisizo halali?
  • Je hii sio njia ya kuwa intimidate viongozi wengine ili waogope kuhoji baadhi ya matumizi yako ya pesa kwa kuwa tu umeanza na visingizio vya kutumia pesa zako Binafsi.
  • Je huoni kuwa hii ni conflict of interest?? Kwa nini utumie Pesa yako tena bila kuutangazia uma ni kiasi gani wakati shirikisho lina uwezo wa kulipa pia
  • kama kweli una nia hiyo thabiti, kwa nini msiwatangazie wana michezo kiasi halisi unachojitolea wewe mfukoni mwako... na kiasi anachodai Poulsen


Ndugu malinzi, kwa watu wanaofanya "critical thinking" hii ni njia mojawapo inayotumiwa ni viongozi kujenga mazingira ya UFISADI hapo baadaye.

Tunakumbuka miaka ta tisini "CCM" iishindwa kuwalipa watumishi wake mikoani kwa takribani miezi sita, mpaka ROSTAM AZIZ alipojitolea pesa zake mfukoni na kuipa CCM ili iwalipe watumishi (nilikua pia CCM wakati huo so najua hili) lakini wote tunajua jinsi gani alijilipa hizo pesa na zaidi. mifano ya namna hii ni mingi sana

Tupe hoja zako, unajipambanuaje katika hili??la sivyo ni kujenga mazingira ya ufisadi tuuu
tff ya tenga ilijitahidi kumwepuka malinzi jamaa zake wote wakanyanyua magongo kutaka kumponda kichwa tenga. Malinzi ni fisadi na ameanza kujenga mazingira ya kuchanganya mali zake na tff kwa lengo la kuibinafsisha tff. Misingi ya utawala bora 'good governance/corporate governance' haikubaliani kabisa na jinsi malinzi anavyotaka kuendesha tff.
 
Kwenye ile thread yake nilimuuliza alifuata nini kwa Lowassa na hajajibu mpaka leo.............mbabaishaji tu.......unamuondoa Paulsen na kumpa timu Madadi?

PIC.JPG

Soka inajumuisha wadau wengi na ni kivutio cha wengi mkuu. Ndoano ni yeye,chambo ni soka na samaki ni wapenda soka!!!!!!

Nani anapenda samaki????!!!!
 
Zipo sababu kwa nini alipe kwa less take: yeye ndo ameomba kuvunja mkataba name Paulsen wala TFF. Lambda hoja ingekuwa kwanini ameomba kuvunja mkataba

mkuu ebu nifafanulie

Kaomba kuvunja mkataba akiwa kama Rais wa TFF au kama Jamal Malinz??
 
Back
Top Bottom