OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
Duuunh haya ni hivi ili kupata support ya kisiasa mkuu kaamua kuingia kwenye soka sasa ni lazima awe na mtu hapo ili mishe zikianza iwe rahisi kupata watu huko mikoani na wilayani kupitia soka au hujui makombe ya mbuzi,jezi,mipira,viatu na vitu kama hivyo ni "catchment"??????Bahati mbaya SAMAKI na SOKA havifanani
Mzee Madiba alitumia hii kuunganisha Taifa! !!!!!!
Sasa kama bado haya!!!!!!!