engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
Kasema yeye na wadau wapenda soka wanajitgolea kumlipa paulsen,jamani watanzania tuache maneno maneno jutifunze kujitolea ni kweli tff kifedha aipo vizuri na paulsen anadai 160,000,000 toa basi njia mbadala wa kupata pesa ya kumfidia sio kueneza majungu
kwanini hao wadau wasijitolee kuwekza soka hususani soka la vijana? hizo pesa za kukatisha mkataba kwanini zisingetumika kuleta kontena 2 za viatu vya bure vilivyotlewa huko UK? kwanini hizo pesa za kuvunja mkataba sizingetumika kujenga vituo vya michezo vya vijana? ama kwa nini pesa hizo za kumlipa kocha baada ya kuvunja mkataba zisingetumika kuwaendelea vijana wanaopataikana ktk lile kombe la cocacola ili tuweze kupata vijana wenye weledi wa soka tangu wakiwa wadogo?
Loading...............................