elia mgina
Member
- Dec 29, 2011
- 27
- 2
Kama hela inaruhusu kwanini asilale? Umasikini wenu usifanye na wengine waishi kwa tabu.
aaa wewe nawee...., swala sio kutumia hela, sasa unajua naibu waziri hiyo hela ni yako hata wewe unahaki ya ku shout! sasa nakushangaaa unavyo tetea uwendawazimu................HUJUI USEMALO!!!