wakuu vp mmiliki wa hoteli anasema panaibiwa benki sembuse nashera!
mkuu director 1 bora uwaambie hawa.....nakumbuka ulianzisha uzi mmoja kumhusu huyu jamaa malima hivi majuzi tu...pale ulipohoji kuhusu capacity yake kiutendaji baaada ya kumwona akiongea...nakumbuka katika kuchangia ile thread....wakati najibu hoja feki ya chupi moja hapo juu inayojiita radhia sweety.....nilikumbushia jinsi ambavyo personal behavior ni kitu muhimu kwa kiongozi ambaye ni kioo cha jamii.....nakumbuka pia kukumbushia uchafu tunaoufahamu kumhusu huyu waziri(personally).....kama mungu alikuwa anasikiliza wala haijapita wiki jamaa anapatikana na huu upuuzi....what a lesson eh!!!!mkuu hata kama alienda kikazi tuwe na huruma kidogo na nchi yetu,hiyo ni dalili ya kukosa uzalendo
alienda kiofisi au kibinafsi?tuanzie hapo kwanza.
By [B said:
kweli we wa bushi
huyu mkenya kwanza kapataje hicho cheo hapo? hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kuwa meneja wa hoteli?Hii kauli ya mmiliki inaipa picha mbaya sana hii hoteli: kuwa hakuna uhakika wa usalama. Asisahau kuwa kauli yake hiyo imeshasambaa ulimwengu mzima na kuna watu wana 'rate' hizo hotel kwa ajili ya wasafiri, k.m. Tripadvisor, Search results: Nashera Hotel, Morogoro - TripAdvisor
Asije shangaa watu wakiandika kuhusu hili tukio na kuipa hotel hiyo sifa mbaya.
sidhani kama kuna hotel ya lk 4 Tanzania hii umesikia vibaya!
Halafu hapohapo anaibiwa nguo na kila kitu kupitia dirishani kwenye hoteli hiyohiyo ya kifahari, angelala uswahilini angeibiwa hadi yeye mwenyewe
Nampa hongera huyo kijana aliejipatia angalau mgao kidogo wa posho za mheshimiwa!na kama yupo hapa mimi nahitaji hiyo laptop kubwa sio kadogo kwa garama yoyote!
huyu mkenya kwanza kapataje hicho cheo hapo? hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kuwa meneja wa hoteli?
ule mkataba wa David Cameroon ungeanzia kwake rasmi
SLAA analipwa mil.12 kwa mwezi siyo mbunge, siyo waziri siku akiwa Rais itakuaje?Hawa wanaojiita waheshimiwa km Adam malima kutumia kodi zetu vibaya nama hii na kujipangia safari na kulala kwenye vyumba vya gharama namna hii na mahospitali yetu hayana madawa hivi wanatuonaje sisi?
Mbaya zaidi dola 4,000/= anaita vijihela eti vya matumizi madogomadogo
alienda kiofisi au kibinafsi?tuanzie hapo kwanza.
sidhani kama kuna hotel ya lk 4 Tanzania hii umesikia vibaya!