Malima akamatwe (obstruction of justice)

Malima akamatwe (obstruction of justice)

Je kama ingekuwa gari linasubiri majambazi? watu wangesema hawafanyi kazi zao kupunguza majanga... huyo kuuliza sijui kama wanajua yeye nani hapana.. tabu pia video zipo vipande vipande hatujaona walikuwa wameanzaje hadi ikafikia hapo..

Ila ningekuwepo hapo ningekimbia, huo mtutu unatisha.

Polisi wangewahoji mashuhuda tujue kwanini alitumia bunduki yake..akiwa polisi amefanya kosa nae alipate ikiwa waliongeleshwa vizuri wakakataa basi nao wafunzwe.

Majambazi wengi sana siku hizi na wanatumia njia hizo hizo kama vile wao watu wana pesaa magari mazuri kumbeeeee ni hatariiiii

(Mods mnaunga threads, niliyoandika naona hayaendani na uzi mliokuja kuunganisha..bora kuanza kumquote mleta mada ieleweke tu...ndio maana kuchangia uzi kunaboaaaaaaaaaa)
Kwa hiyo gari la adam malima lilikuwa kinasubiri majambazi. Damn man.... embu leta point yenye mashiko..
Majambaz yanajulikana na raia wanajulikana...
Jambaz gan yuko hivyo...?
 
Kwanza Mods inafaa hii ihamishwe/iunganishwe.. kwenye uzi husika . Pili wewe hujui kilichotokea umebuni kwa kujidai ni mganga wa kutafsir clip...Hivi wapi imeandikwa kwamba ukijibizana na mtu aliyekuwa kiongozi unakoki silaha?

Ushauri kwa mamlaka..askali polisi wahakikiwe vyeti na waliofoji uwekwe mpango...Askali wa leo anatakiwa aende na sayansi na technolojia sio kutoa silaha hadharani. Hivi katika hali ya kawaida wewe kama unamiliki silaha unaitoa au kuitumia wakati upi. Moja pili, katika umma wa watz wapi inastahili kutoa silaha hadharani ..pale kwa malima are you mad?

Hemb nendeni zenu sijui mnatetea upuuz gani...pale kama ni makaz ya watu unawafundisha nn? watoto, raia, unadhan pale nini kimejenga kuwa ishu, malima au polisi kupiga risasi juu..

Kisheria pale anapiga mashine ile juu ili ikapige nini kule juu...dah jamani tusomeni shule ni muhimu.

katik mazingira ya kawaida askal wa namna hii hawawezi kufanya mazingira ya utendaaji kazi wa rais kuwa salama, ni kumpa hedeki tu amiri jeshi..na kumtega...labda ili MKUU WA POLISI ACHUKUE HATUA RAIS AIBARIKI..MNASABABISHA WAKUBWA WAPATE WAKATI MGUMU.

simtetei malima..ni kosa acha askal miaka hii hata mtoto mchanga ukikutana kam hajakusalimia msalimie....dogo hujambo ili akupe shikamoo au asikupe ..lkn wewe umemsalimu hiki ndio kizazi cha sasa

askali ni kama dogo malima alikuwa aombe radhi na kuomba apewe heshma yake ya zamani kuwa wzir , msomi nk..huku akiheshimu wenzie...

lkn askali sio kupiga mashine juu, acheni ujinga ..askali alikosea sana..na malima kwa upande wake..

KUHUSU majembe..hawa siwapendi na kwa nionavyo mzee magu hajafikia huko tuu atapiga marufuku, majembe sijui nani...ni wanyanyasaji..sasa unaona badla ya kudeal na wasumbufu MAJEMBE mnagombana watu wa kawaida askali vs malima. na kuacha ishu ya msingi kupotezewa...
Palikua Na sayansi gani pale!?
Mnajifanya mnajua Sana na hivyo vishahada yenu, siku huo upuuzi wenu mkiniletea Mimi na waramba Za makalio
 
Hii ishu haikuitaji hata kufyatua risasi juu... haikuhitaji nguvu...
Ni swala tu la kumuonya mmliki kama amepaki vibaya.. akileta ubishi anapigwa fine. No need kugombana wala kushikana mashati.
Askar wetu nguvu nyingi busara 0
 
Inawezekana kabisa ukawa umemzidi askari umri, kipato nakadhalika lakini tuheshimu mipaka ya kazi ya kila mmoja askari kazi yake ni kusimamia sheria zilizotungwa na bunge ,,?.

Huyu mzee amekwenda kuegesha gari sehemu isiyoruhusiwa akitumia cheo chake maagizo ma maelekezo aliyo pewa akashindwa ku comply ikapelekea watu wasiokuwa na shughuli kujaa na kuwa tayari kwa lolote....ukisikiliza maneno vizuri kwenye clip inayosambaa watu wana washutumu polisi nyie mmezidi ukimuangalia vizuri dereva wa malima aliyevaa shati kama la jeans ana pandisha hasira mpaka anajipiga makofi mkononi.

Ni dhahiri kabisa kwamba hawa watu wasiokuwa na shughuli walikuwa wako tayari kuwavamia hawa polisi angalia kwa makini clip, hawa yono kila siku wanatukamata na tunalipa faini mbona haiwi ishu huyu anamwambia polisi unajua mimi ni nani?

Polisi anaongea kwa uchungu anasema mbona nyinyi hamheshimu serikali mimi nimeapa ninamkanda wa bendera, lakini watu wasiokuwa na shughuli wanaendelea kubeza...huu ni utawala mwingine yale mambo ya unajua unaongea na nani hayapo tena nchi inaongozwa na taratibu kanuni na sheria ukikiuka ...

Utapigwa tu hope alilala oysterbay police hakuna mtu aliye juu sheria

Siwezi tetea upuuzi polisi wetu bado
 
Kuegesha gari vibaya(mahala pasipo ruhusiwa) nikosa ambalo haliendani na kufyatua risasi hewani. Huu ubabe uchwara tu.
Kilichosababisha kufyatua risasi ni suala la kutawanya mkusanyiko haramu au ni kuegesha gari? angalia ambacho kingetokea kama asingetumia kifaa alichoaminiwa na serikali kukitumia, wale mashilawadu waliokusanyika wangeweza kumzonga na kunyanganya hiyo mali ya serikali...je angekuwa mgeni wa nani???? je! alivyofyatua hewani, na kusababisha umati huo kutawanyika bila ya kuleta madhara yoyote na mwisho wa siku kumkamata huyo mtu aliyekuwa hataki kutii amri halali huoni kuwa anastahili zawazi kwa kuitumia taaluma yake vizuri???
 
Hii ishu haikuitaji hata kufyatua risasi juu... haikuhitaji nguvu...
Ni swala tu la kumuonya mmliki kama amepaki vibaya.. akileta ubishi anapigwa fine. No need kugombana wala kushikana mashati.
Askar wetu nguvu nyingi busara 0
Hivi zile risasi zilifyatuliwa kumtisha Malima au kutishia lile kundi lililokuwa linasogea.
 
Inawezekana kabisa ukawa umemzidi askari umri, kipato nakadhalika lakini tuheshimu mipaka ya kazi ya kila mmoja askari kazi yake ni kusimamia sheria zilizotungwa na bunge ,,?.

Huyu mzee amekwenda kuegesha gari sehemu isiyoruhusiwa akitumia cheo chake maagizo ma maelekezo aliyo pewa akashindwa ku comply ikapelekea watu wasiokuwa na shughuli kujaa na kuwa tayari kwa lolote....ukisikiliza maneno vizuri kwenye clip inayosambaa watu wana washutumu polisi nyie mmezidi ukimuangalia vizuri dereva wa malima aliyevaa shati kama la jeans ana pandisha hasira mpaka anajipiga makofi mkononi.

Ni dhahiri kabisa kwamba hawa watu wasiokuwa na shughuli walikuwa wako tayari kuwavamia hawa polisi angalia kwa makini clip, hawa yono kila siku wanatukamata na tunalipa faini mbona haiwi ishu huyu anamwambia polisi unajua mimi ni nani?

Polisi anaongea kwa uchungu anasema mbona nyinyi hamheshimu serikali mimi nimeapa ninamkanda wa bendera, lakini watu wasiokuwa na shughuli wanaendelea kubeza...huu ni utawala mwingine yale mambo ya unajua unaongea na nani hayapo tena nchi inaongozwa na taratibu kanuni na sheria ukikiuka ...

Utapigwa tu hope alilala oysterbay police hakuna mtu aliye juu sheria

Issue kubwa ninaiona hapa ni matumizi mabaya kabisa ya silaha. Hakukuwa na tishio lolote kwa askari na Malima hakugoma kukamatwa. Chuoni polisi hatufundishwi ubabe kwa watuhumiwa wasiokuwa na silaha. Ni kosa kubwa kabisa. Hata upigaji wa risasi ulikuwa wa kibishoo siyo wa onyo, maana onyo unapiga risasi moja hewani tena kwa kushika bunduki na mikono miwili kila baada ya muda, si kwa risasi mfulilizo huku ukijinasibu kwa ushindi wa kivita!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kilichosababisha kufyatua risasi ni suala la kutawanya mkusanyiko haramu au ni kuegesha gari? angalia ambacho kingetokea kama asingetumia kifaa alichoaminiwa na serikali kukitumia, wale mashilawadu waliokusanyika wangeweza kumzonga na kunyanganya hiyo mali ya serikali...je angekuwa mgeni wa nani???? je! alivyofyatua hewani, na kusababisha umati huo kutawanyika bila ya kuleta madhara yoyote na mwisho wa siku kumkamata huyo mtu aliyekuwa hataki kutii amri halali huoni kuwa anastahili zawazi kwa kuitumia taaluma yake vizuri???
Wengi humu wanaongea kishabiki. Risasi zilifyatuliwa kuwatawanya wale watu. Tatizo jamii yetu sasa hivi imejaa udaku tu.
 
Kama umezaliwa kwenye Tundu la choo usimalizie hasira zako kwangu mana hata nimezaliwa gesti ila mzazi lazima nimheshimu sasa kama utakata kununua matusi mwambie Mod atuandalie ligi ya kwetu pekee tutoke nje ya uzi wa watu.
Tuendelee na maada mezani tuwaache wazazi wetu
Bila shaka utakubaliana nami kwamba tulikuwa timetoka nje ya mjadala
Huenda maada hii inatugusa kwa namna tofauti ndo maana tumejikuta tunaongozwa na mihemko
Samahani kwa kukukwaza lakini hata mie pia ulikwaza ulipoanza kumtaja baba yangu
Pole kaka tuko pamoja
 
Kwanza Mods inafaa hii ihamishwe/iunganishwe.. kwenye uzi husika . Pili wewe hujui kilichotokea umebuni kwa kujidai ni mganga wa kutafsir clip...Hivi wapi imeandikwa kwamba ukijibizana na mtu aliyekuwa kiongozi unakoki silaha?

Ushauri kwa mamlaka..askali polisi wahakikiwe vyeti na waliofoji uwekwe mpango...Askali wa leo anatakiwa aende na sayansi na technolojia sio kutoa silaha hadharani. Hivi katika hali ya kawaida wewe kama unamiliki silaha unaitoa au kuitumia wakati upi. Moja pili, katika umma wa watz wapi inastahili kutoa silaha hadharani ..pale kwa malima are you mad?

Hemb nendeni zenu sijui mnatetea upuuz gani...pale kama ni makaz ya watu unawafundisha nn? watoto, raia, unadhan pale nini kimejenga kuwa ishu, malima au polisi kupiga risasi juu..

Kisheria pale anapiga mashine ile juu ili ikapige nini kule juu...dah jamani tusomeni shule ni muhimu.

katik mazingira ya kawaida askal wa namna hii hawawezi kufanya mazingira ya utendaaji kazi wa rais kuwa salama, ni kumpa hedeki tu amiri jeshi..na kumtega...labda ili MKUU WA POLISI ACHUKUE HATUA RAIS AIBARIKI..MNASABABISHA WAKUBWA WAPATE WAKATI MGUMU.

simtetei malima..ni kosa acha askal miaka hii hata mtoto mchanga ukikutana kam hajakusalimia msalimie....dogo hujambo ili akupe shikamoo au asikupe ..lkn wewe umemsalimu hiki ndio kizazi cha sasa

askali ni kama dogo malima alikuwa aombe radhi na kuomba apewe heshma yake ya zamani kuwa wzir , msomi nk..huku akiheshimu wenzie...

lkn askali sio kupiga mashine juu, acheni ujinga ..askali alikosea sana..na malima kwa upande wake..

KUHUSU majembe..hawa siwapendi na kwa nionavyo mzee magu hajafikia huko tuu atapiga marufuku, majembe sijui nani...ni wanyanyasaji..sasa unaona badla ya kudeal na wasumbufu MAJEMBE mnagombana watu wa kawaida askali vs malima. na kuacha ishu ya msingi kupotezewa...
Well said
 
Kwanza Mods inafaa hii ihamishwe/iunganishwe.. kwenye uzi husika . Pili wewe hujui kilichotokea umebuni kwa kujidai ni mganga wa kutafsir clip...Hivi wapi imeandikwa kwamba ukijibizana na mtu aliyekuwa kiongozi unakoki silaha?

Ushauri kwa mamlaka..askali polisi wahakikiwe vyeti na waliofoji uwekwe mpango...Askali wa leo anatakiwa aende na sayansi na technolojia sio kutoa silaha hadharani. Hivi katika hali ya kawaida wewe kama unamiliki silaha unaitoa au kuitumia wakati upi. Moja pili, katika umma wa watz wapi inastahili kutoa silaha hadharani ..pale kwa malima are you mad?

Hemb nendeni zenu sijui mnatetea upuuz gani...pale kama ni makaz ya watu unawafundisha nn? watoto, raia, unadhan pale nini kimejenga kuwa ishu, malima au polisi kupiga risasi juu..

Kisheria pale anapiga mashine ile juu ili ikapige nini kule juu...dah jamani tusomeni shule ni muhimu.

katik mazingira ya kawaida askal wa namna hii hawawezi kufanya mazingira ya utendaaji kazi wa rais kuwa salama, ni kumpa hedeki tu amiri jeshi..na kumtega...labda ili MKUU WA POLISI ACHUKUE HATUA RAIS AIBARIKI..MNASABABISHA WAKUBWA WAPATE WAKATI MGUMU.

simtetei malima..ni kosa acha askal miaka hii hata mtoto mchanga ukikutana kam hajakusalimia msalimie....dogo hujambo ili akupe shikamoo au asikupe ..lkn wewe umemsalimu hiki ndio kizazi cha sasa

askali ni kama dogo malima alikuwa aombe radhi na kuomba apewe heshma yake ya zamani kuwa wzir , msomi nk..huku akiheshimu wenzie...

lkn askali sio kupiga mashine juu, acheni ujinga ..askali alikosea sana..na malima kwa upande wake..

KUHUSU majembe..hawa siwapendi na kwa nionavyo mzee magu hajafikia huko tuu atapiga marufuku, majembe sijui nani...ni wanyanyasaji..sasa unaona badla ya kudeal na wasumbufu MAJEMBE mnagombana watu wa kawaida askali vs malima. na kuacha ishu ya msingi kupotezewa...
Huyo askari ahamishiwe rufiji maana kule kuna raia anaofanana nao ukiwaonesha wao wanatumia!
 
Kuegesha gari vibaya(mahala pasipo ruhusiwa) nikosa ambalo haliendani na kufyatua risasi hewani. Huu ubabe uchwara tu.
Risasi hakupigiwa malima, ni za wale nyumbu waliokuwa wakiongezeka na malengo tofauti huku wakishangilia kila kitu.
 
hahaha nimeielewa nackia ukipak sehemu vbaya kama dereva yupo ndani hainashida sasa askali ajajuu wakat dereva yupo hao majembe wenyewe wameingia ndani ya gari(uzembe)
 
Kwanza Mods inafaa hii ihamishwe/iunganishwe.. kwenye uzi husika . Pili wewe hujui kilichotokea umebuni kwa kujidai ni mganga wa kutafsir clip...Hivi wapi imeandikwa kwamba ukijibizana na mtu aliyekuwa kiongozi unakoki silaha?

Ushauri kwa mamlaka..askali polisi wahakikiwe vyeti na waliofoji uwekwe mpango...Askali wa leo anatakiwa aende na sayansi na technolojia sio kutoa silaha hadharani. Hivi katika hali ya kawaida wewe kama unamiliki silaha unaitoa au kuitumia wakati upi. Moja pili, katika umma wa watz wapi inastahili kutoa silaha hadharani ..pale kwa malima are you mad?

Hemb nendeni zenu sijui mnatetea upuuz gani...pale kama ni makaz ya watu unawafundisha nn? watoto, raia, unadhan pale nini kimejenga kuwa ishu, malima au polisi kupiga risasi juu..

Kisheria pale anapiga mashine ile juu ili ikapige nini kule juu...dah jamani tusomeni shule ni muhimu.

katik mazingira ya kawaida askal wa namna hii hawawezi kufanya mazingira ya utendaaji kazi wa rais kuwa salama, ni kumpa hedeki tu amiri jeshi..na kumtega...labda ili MKUU WA POLISI ACHUKUE HATUA RAIS AIBARIKI..MNASABABISHA WAKUBWA WAPATE WAKATI MGUMU.

simtetei malima..ni kosa acha askal miaka hii hata mtoto mchanga ukikutana kam hajakusalimia msalimie....dogo hujambo ili akupe shikamoo au asikupe ..lkn wewe umemsalimu hiki ndio kizazi cha sasa

askali ni kama dogo malima alikuwa aombe radhi na kuomba apewe heshma yake ya zamani kuwa wzir , msomi nk..huku akiheshimu wenzie...

lkn askali sio kupiga mashine juu, acheni ujinga ..askali alikosea sana..na malima kwa upande wake..

KUHUSU majembe..hawa siwapendi na kwa nionavyo mzee magu hajafikia huko tuu atapiga marufuku, majembe sijui nani...ni wanyanyasaji..sasa unaona badla ya kudeal na wasumbufu MAJEMBE mnagombana watu wa kawaida askali vs malima. na kuacha ishu ya msingi kupotezewa...
Ni kweli askari wahakikiwe vyeti lakini unadhani elimu inayomuwezesha askari kutumia silaha ni elimu hii ya darasani?.
Najua ni mazingira gani askari atatakiwa kutumia silaha ya moto lakini ni nani amepelekea yule askari kuchukua uamuzi ule?.
Lilikua ni suala dogo la kuheshimu nafasi uliyonayo na kuheshimu mipaka ya kazi ya mwenzako.

Kundi lililokua limekusanyika pale clip inaonyesha lilikua lipo upande wa mhe ambaye ndio chanzo cha malumbano. Lilekundi lilikua linawashambulia askari kwa maneno na kuwasogelea kitu ambacho kwa askari makini lazima achukue tahadhari labda huenda wangempora silaha yake.
 
Kwanza Mods inafaa hii ihamishwe/iunganishwe.. kwenye uzi husika . Pili wewe hujui kilichotokea umebuni kwa kujidai ni mganga wa kutafsir clip...Hivi wapi imeandikwa kwamba ukijibizana na mtu aliyekuwa kiongozi unakoki silaha?

Ushauri kwa mamlaka..askali polisi wahakikiwe vyeti na waliofoji uwekwe mpango...Askali wa leo anatakiwa aende na sayansi na technolojia sio kutoa silaha hadharani. Hivi katika hali ya kawaida wewe kama unamiliki silaha unaitoa au kuitumia wakati upi. Moja pili, katika umma wa watz wapi inastahili kutoa silaha hadharani ..pale kwa malima are you mad?

Hemb nendeni zenu sijui mnatetea upuuz gani...pale kama ni makaz ya watu unawafundisha nn? watoto, raia, unadhan pale nini kimejenga kuwa ishu, malima au polisi kupiga risasi juu..

Kisheria pale anapiga mashine ile juu ili ikapige nini kule juu...dah jamani tusomeni shule ni muhimu.

katik mazingira ya kawaida askal wa namna hii hawawezi kufanya mazingira ya utendaaji kazi wa rais kuwa salama, ni kumpa hedeki tu amiri jeshi..na kumtega...labda ili MKUU WA POLISI ACHUKUE HATUA RAIS AIBARIKI..MNASABABISHA WAKUBWA WAPATE WAKATI MGUMU.

simtetei malima..ni kosa acha askal miaka hii hata mtoto mchanga ukikutana kam hajakusalimia msalimie....dogo hujambo ili akupe shikamoo au asikupe ..lkn wewe umemsalimu hiki ndio kizazi cha sasa

askali ni kama dogo malima alikuwa aombe radhi na kuomba apewe heshma yake ya zamani kuwa wzir , msomi nk..huku akiheshimu wenzie...

lkn askali sio kupiga mashine juu, acheni ujinga ..askali alikosea sana..na malima kwa upande wake..

KUHUSU majembe..hawa siwapendi na kwa nionavyo mzee magu hajafikia huko tuu atapiga marufuku, majembe sijui nani...ni wanyanyasaji..sasa unaona badla ya kudeal na wasumbufu MAJEMBE mnagombana watu wa kawaida askali vs malima. na kuacha ishu ya msingi kupotezewa...
Umemjibu vizuri sana
 
Sijuagi kutukana lkn mleta Uzi hatumii akili anatumia ule urojo wa dafu kuwaza, usiongee kwa msukumo wa mhemko mkuu, je waliokuwepo eneo la tukio wakikuelezea chanzo utasemaje hapo? Hivi kwa akili yako unadhani malima hakuwa na bastola pale? Unajua sheria za matumizi ya silaha wewe? Shkamoo
 
Back
Top Bottom