Malima akamatwe (obstruction of justice)

Malima akamatwe (obstruction of justice)

Kuna maeneo una ruhusiwa kupaki ila usitoke ndani ya gari,Mimi siku moja walinikamata hao yono,nilipaki nje kabisa ya barabara nilikuwa naongea na simu ,wakaniuliza kwa nini sijawasha daVincible azard,nikawaambia jamani hapa si nje kabisa ya barabara,nikisema nje ya barabara naomba muelewe nilikuwa nje kweli tena nilipo kuwa kwa nyuma oil wala hakuna hata uwezekano wa gari kupita,yaani jaribu hatua tano toka kwenye barabara dah
Hatua tano kutoka barabarani bdo uko katika reserve ya barabara, kama Magufuli anapanua barabara na uko hapo anakuchota.

Ulitakiwa kuwasha taa.

Kuna walevi hawana adabu. Kuna watu wanaendesha magari huku wana type kwenye simu.
 
Nakwambiaje nilipokuwa nimepaki gari niliingiza yaani sijui nikupe mfano gani,maana ni kwa nyuma kulikuwa hakuna uwezekano wa gari nyingine kuja ,yaani ni sawa na kuwa nyuma yako kuna nyumba harafu we ukaenda kupaki mbele yake,,hujui mazingira yalikuwaje,tena SAA NNE asubuhi
 
Sasa ka mlevi mwenye makosa nani,au kama ana type,
 
Inamaana zile nyumba basi nazo ilibidi ziwashe dable azard ,maana mimi nilipaki eneo ambalo gari halipiti, inamaana nienda sehemu sahihi nikapaki nilikuwa nauwezo hata wa kuliacha hapo nikaindoka,tatizo ni kwamba waliniona nipo,maana maana nyuma ya gari yangu kulikuwa na nyumba
 
Inawezekana kabisa ukawa umemzidi askari umri, kipato nakadhalika lakini tuheshimu mipaka ya kazi ya kila mmoja askari kazi yake ni kusimamia sheria zilizotungwa na bunge ,,?.huyu mzee amekwenda kuegesha gari sehemu isiyoruhusiwa akitumia cheo chake maagizo ma maelekezo aliyo pewa akashindwa ku comply ikapelekea watu wasiokuwa na shughuli kujaa na kuwa tayari kwa lolote....ukisikiliza maneno vizuri kwenye clip inayosambaa watu wana washutumu polisi nyie mmezidi ukimuangalia vizuri dereva wa malima aliyevaa shati kama la jeans ana pandisha hasira mpaka anajipiga makofi mkononi. Ni dhahiri kabisa kwamba hawa watu wasiokuwa na shughuli walikuwa wako tayari kuwavamia hawa polisi angalia kwa makini clip, hawa yono kila siku wanatukamata na tunalipa faini mbona haiwi ishu huyu anamwambia polisi unajua mimi ni nani? Polisi anaongea kwa uchungu anasema mbona nyinyi hamheshimu serikali mimi nimeapa ninamkanda wa bendera, lakini watu wasiokuwa na shughuli wanaendelea kubeza...huu ni utawala mwingine yale mambo ya unajua unaongea na nani hayapo tena nchi inaongozwa na taratibu kanuni na sheria ukikiuka ...utapigwa tu hope alilala oysterbay police hakuna mtu aliye juu sheria
Yes huu ni utawala mwingine, wa kutoleana bunduki na watu walioweka mikono mfukoni na kufyatuliana risasi hewani kwa kosa la wrong parking...
Yes....
Huu ni utawala mwingine.
 
Kwanza Mods inafaa hii ihamishwe/iunganishwe.. kwenye uzi husika . Pili wewe hujui kilichotokea umebuni kwa kujidai ni mganga wa kutafsir clip...Hivi wapi imeandikwa kwamba ukijibizana na mtu aliyekuwa kiongozi unakoki silaha?

Ushauri kwa mamlaka..askali polisi wahakikiwe vyeti na waliofoji uwekwe mpango...Askali wa leo anatakiwa aende na sayansi na technolojia sio kutoa silaha hadharani. Hivi katika hali ya kawaida wewe kama unamiliki silaha unaitoa au kuitumia wakati upi. Moja pili, katika umma wa watz wapi inastahili kutoa silaha hadharani ..pale kwa malima are you mad?

Hemb nendeni zenu sijui mnatetea upuuz gani...pale kama ni makaz ya watu unawafundisha nn? watoto, raia, unadhan pale nini kimejenga kuwa ishu, malima au polisi kupiga risasi juu..

Kisheria pale anapiga mashine ile juu ili ikapige nini kule juu...dah jamani tusomeni shule ni muhimu.

katik mazingira ya kawaida askal wa namna hii hawawezi kufanya mazingira ya utendaaji kazi wa rais kuwa salama, ni kumpa hedeki tu amiri jeshi..na kumtega...labda ili MKUU WA POLISI ACHUKUE HATUA RAIS AIBARIKI..MNASABABISHA WAKUBWA WAPATE WAKATI MGUMU.

simtetei malima..ni kosa acha askal miaka hii hata mtoto mchanga ukikutana kam hajakusalimia msalimie....dogo hujambo ili akupe shikamoo au asikupe ..lkn wewe umemsalimu hiki ndio kizazi cha sasa

askali ni kama dogo malima alikuwa aombe radhi na kuomba apewe heshma yake ya zamani kuwa wzir , msomi nk..huku akiheshimu wenzie...

lkn askali sio kupiga mashine juu, acheni ujinga ..askali alikosea sana..na malima kwa upande wake..

KUHUSU majembe..hawa siwapendi na kwa nionavyo mzee magu hajafikia huko tuu atapiga marufuku, majembe sijui nani...ni wanyanyasaji..sasa unaona badla ya kudeal na wasumbufu MAJEMBE mnagombana watu wa kawaida askali vs malima. na kuacha ishu ya msingi kupotezewa...
Kupiga risasi hewani kulisababishwa na ile crowd! Ilikuwa ni onyo kwa wale jobless waliokuwa wakiendelea kijikusanya ambao askari hawakuweza kugundua lengo lao (inawezekana walikuwa na lengo la kuwanyang'anya askari silaha)-HIVYO ONYO LILIKUWA NA UMUHIMU

Kuhusu hao majembe unaosema huwapendi inadhihirisha wewe ni mvunja sheria mzoefu
 
Inawezekana kabisa ukawa umemzidi askari umri, kipato nakadhalika lakini tuheshimu mipaka ya kazi ya kila mmoja askari kazi yake ni kusimamia sheria zilizotungwa na bunge ,,?.

Huyu mzee amekwenda kuegesha gari sehemu isiyoruhusiwa akitumia cheo chake maagizo ma maelekezo aliyo pewa akashindwa ku comply ikapelekea watu wasiokuwa na shughuli kujaa na kuwa tayari kwa lolote....ukisikiliza maneno vizuri kwenye clip inayosambaa watu wana washutumu polisi nyie mmezidi ukimuangalia vizuri dereva wa malima aliyevaa shati kama la jeans ana pandisha hasira mpaka anajipiga makofi mkononi.

Ni dhahiri kabisa kwamba hawa watu wasiokuwa na shughuli walikuwa wako tayari kuwavamia hawa polisi angalia kwa makini clip, hawa yono kila siku wanatukamata na tunalipa faini mbona haiwi ishu huyu anamwambia polisi unajua mimi ni nani?

Polisi anaongea kwa uchungu anasema mbona nyinyi hamheshimu serikali mimi nimeapa ninamkanda wa bendera, lakini watu wasiokuwa na shughuli wanaendelea kubeza...huu ni utawala mwingine yale mambo ya unajua unaongea na nani hayapo tena nchi inaongozwa na taratibu kanuni na sheria ukikiuka ...

Utapigwa tu hope alilala oysterbay police hakuna mtu aliye juu sheria
Nakuunga mkono hoja mkuu ..ujue makosa mengi huwa yako kwetu sisi raia. Ukiangalia scene nyingi ambazo polisi anashutumiwa kutumia vibaya nafas yake kama polisi, utakuta raia alikataa kutii amri . Sasa hii changamoto, raia nao yawapasa wasipende sana kukkmbilia Bunduki. Polisi wajarjbu kutumia nguvu ila sio bunduki, wangemuingiz kwa nguvu mle ndani.
Alfu suala lingne pale ..yule mzee jeuri yake ndio inawasha moto wa hasira kwa askari. Kumwambia mtu kwamba "Unanijua mi nani ?? Ni kauli mbaya sana ukiwa ww ndio unafanya kazi na mtu kama huyo kaja kazini kwako. Watu wanataka waendelee kuvunja sheria eti sababu alishawahi kuwa waziri wa fedha. Tuheshimu kazi za watu na wahusika watakuheshimu. Haya mambo yanatokea sana hata marekani unakuta raia anatia ubishi hasa hasa sisi black. Tushajijengee inferiority kuwa askari wanakuonea kwa kuwa ww ni black something wrong. Anaambiwa pull over anasimama lakn ktendo cha kumruhusu askari amhoji inakuwa kero kwake. Ni hayo tu mkuu
 
Dereva wa mama Anna Mkapa siku moja tulikunjana, kama kawaida "sikujua yeye nani" pale posta DSM mtaa wa samora kuna duka la mapazia maarufu sana alikuwa amepaki nje, ni kipindi hili ambacho mumewe hakuwa raisi namimi nilikuwa naenda kununua pazia kutokana na ufinyu wa parking mjini ikabidi nipaki mbele yake alishuka kwa matusi we mbona una ni block unajua gari ya nani hii nikamwambia sijaku bloc ila nafasi ni finyu ukitaka kuondoka nijulishe, si akaja kwa lengo la kunikunja kawaida huwa sipigani ngumi kwani zinachelewesha huwezi kuamini ugomvi waliamua vijana waosha magari na wenye dukailikuwa ni waka 2011. nahakika hatanisahau maisha yake yote.
Mkuu hongera kama hukutoa cluger cz100 maana ingekua shida sana.
 
Hakuna cha utawala wa sheria wala nini? Bashite amefoji na ana vamia vituo vya watu na ushahidi upo wazi lakini yupo ofisi bila wasiwasi.
 
Hivi risasi zilifyatuliwa kumtisha Malima au kutawanya wale watu? Hizi video nusu nusu zinapotosha.

Hivi ni wanngapi wanakamatwa na hawa yono na mara ngapi risasi huwa zinatumika?
 
Hongera kwa kumiliki gari lililotumika kwa zaidi ya miaka kumi japani pili nikwambie tu kwamba unatakiwa uwe na busara unapodeal na crown pale double tree kuna diplomatic office shirika la umoja wa mataifa la uhamiaji huwezi kuwa na elimu ya barabarani ukasimamisha gari nje ya ofisi hizi za kibalozi mbona jeshini huwa hampaki hivyo vi passo vyenu na akitokea mwanajeshi akakwambia toa gari huwa hamuulizi alama iko wapi....sasa wewe ongea ila mwenzio ndio kalala oysterbay na vx lake liko nje siyo jeki wala siyo gari I OWN A FLEET.
Kalala, halafu sitoshangaa akishinda kesi
 
5e21e8b98fbc999c17cff53c2ca3b772.jpg
Safi sana! Tena wangempeleka stakshari kabisa!
 
Yes huu ni utawala mwingine, wa kutoleana bunduki na watu walioweka mikono mfukoni na kufyatuliana risasi hewani kwa kosa la wrong parking...
Yes....
Huu ni utawala mwingine.
Wrong parking, , ukisababisha ajali Tanzania
 
Wacha wakomeshane manake hzi shuruba za kupigwa mateke na kupigwa risasi zilikua ni zetu sisi walala hoi sasa zimeanza kuwageukia na wao.Tena ana bahat sana huyu Bwana Malima sa hzi taarifa ingekua kuna kitu chemye ncha kali kimemnaniliu. . . . . . .
 
Kupiga risasi hewani kulisababishwa na ile crowd! Ilikuwa ni onyo kwa wale jobless waliokuwa wakiendelea kijikusanya ambao askari hawakuweza kugundua lengo lao (inawezekana walikuwa na lengo la kuwanyang'anya askari silaha)-HIVYO ONYO LILIKUWA NA UMUHIMU

Kuhusu hao majembe unaosema huwapendi inadhihirisha wewe ni mvunja sheria mzoefu
Mkuu umetizama hizo clip kweli? Nina shaka
 
Kuegesha gari vibaya(mahala pasipo ruhusiwa) nikosa ambalo haliendani na kufyatua risasi hewani. Huu ubabe uchwara tu.
Ubinadamu kazi, tatizo sio kupaki vibaya tu zikapigwa risasi, tatizo maneno ya kukudharau unaweza kujikuta mihasira kibao ukafanya lolote bila kujua. Tena huyo Askari nampongeza kwa uvumilivu,
 
Hongera kwa kumiliki gari lililotumika kwa zaidi ya miaka kumi japani pili nikwambie tu kwamba unatakiwa uwe na busara unapodeal na crown pale double tree kuna diplomatic office shirika la umoja wa mataifa la uhamiaji huwezi kuwa na elimu ya barabarani ukasimamisha gari nje ya ofisi hizi za kibalozi mbona jeshini huwa hampaki hivyo vi passo vyenu na akitokea mwanajeshi akakwambia toa gari huwa hamuulizi alama iko wapi....sasa wewe ongea ila mwenzio ndio kalala oysterbay na vx lake liko nje siyo jeki wala siyo gari I OWN A FLEET.


!
!
Kwa ubashite Huu hata baiskeli hauna na kitecno wereva chako.
 
Barabarani kuna makatazo ya aina tatu kuhusu kusimamisha gari:

1. NO STOPPING
- Hapa hupaswi kusimama kabisa.

2. NO STANDING
- Hapa unaweza kusimama (STOP) kwa muda mfupi sana wakati unachukua kitu au abiria.

3. NO PARKING
- Hapa unaweza kuegesha (STAND) kwa muda mrefu kidogo lakini wakati wote lazima dereva awe ndani ya gari na engine ikiwa imewaka.

PARKING ina maana:
- umeegesha gari, dereva hayumo ndani, limezimwa, na milango imefungwa.

Sijui kilichotokea Masaki lakini hizo ndio
sheria za barabani.
Hivi unaelewa ulichokiandika mkuu
 
Back
Top Bottom