Malaysia Airlines passenger jet reportedly shot down in Ukraine

Malaysia Airlines passenger jet reportedly shot down in Ukraine

wamewaonea bure raia wasiokuwa na hatia. ningetamani kama wangeiangusha ATC ikiwa na mafisadi 101 kuliko kuua raia 295 bila sababu yoyote.
Ingeburudika sana nafsi yangu.
 
Ndugu zanguni

Habari ziko sky news sasa kuwa ndege ya Malaysian airways imeanguka ikiwa na abiria 295

Hii ni ndege ya pili sasa

STAY TUNED...

Update;

Russian news agency wanasema hiyo ndege imetunguliwa na BUK missile ambayo ni ground to air missiles special kwa kutungulia ndege.



Chanzo:mirror
nashukuru leo umeleta habari isiyokuwa ya magamba
 
Safari hii Bendera itapepea nusu mlingoti na Matamko ya kulaani tukio tutasikia.aisee pole Malaysia.
 
Labda ndio maana wamepata kigugumizi...mpaka sasa hawajatoa tamko lolote...

hao ni wa kushitakiwa tu...kuchezea maisha ya watu kwa tamaa za kibiashara...


Mkuu,

Malaysia Airlines walionywa tangia mwezi April mwaka huu na European Aviation and Safety Agency kwamba wanaporusha ndege kutoka barani Ulaya kwenda Malaysia waepuke Ukranian Air Space.

Sasa Malaysian Airlines wanatumia Ukranian Space ili kuokoa kiasi kikubwa cha mafuta ambacho ndege zake zinatumia. Hivyo marubani wanakuwa wanakiuka sharia za Aviation kwa kuona kwamba wanasave pesa kwa shirika na kampuni.

Eneo lote linalohusisha nchi ya Ukraine linajulikana kwa sasa kama ni Warzone kutokana na kuwepo vita baina ya waasi wa Kirusi na nchi ya Ukraine.

Hivyo ndege zote zinazoruka kutoka barani Ulaya iwe kwenda nchi za mashariki ya mbali kama China na Malaysia au hata Marekani, zimeonywa kutopita katika eneo hilo.
 
Russian separists ndo wameitungua,maana walitweet kuwa wametungua ndege,sasa ilipojulikana kuwa ni ndege ya civil,ile tweet wakaifuta.Wametungua bila kujua kuwa ni ndege ya abiria.Wajanja walishaikopy tweets!
 
ingetakiwa ndege kama hii iwe na wajumbe wa ccm na mwenyekiti wao wanao mpinga warioba na kuendelea na vikao vya katiba mpya wakati ukawa wametoka

Dua la kuku.................Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi utaibiwa.
 
Naangalia CNN hapa washaanza kuipa lawama Urusi.Pure propaganda!

Ulitaka wailaumu Tanzania? Mkuu Dunia inaenda na wakati hakuna vya kubuni sikuhizi mambo yapo wazi kabisa... si Africa kule kama Nigeria anaomba mkopo wa Dollar billion moja kupambana na Boko haram.... kila kitu ni Dili...! Fursa.....!
 
  • Reports suggest a passenger plane has crashed in eastern Ukraine. The early reports come from an "aviation source" who was quoted by the privately-owned Russian Interfax news agency
Dah! wewe kiboko... kwa nini usiweke link tu? Hii kukopi na kupaste sio kitu lazima sana iwapo kuna links!
 
Russian separists ndo wameitungua,maana walitweet kuwa wametungua ndege,sasa ilipojulikana kuwa ni ndege ya civil,ile tweet wakaifuta.Wametungua bila kujua kuwa ni ndege ya abiria.Wajanja walishaikopy tweets!
Wameenda mbali zaidi na kufuta tweet za kuwa wanamiliki BUK Missiles
 
Russian separists ndo wameitungua,maana walitweet kuwa wametungua ndege,sasa ilipojulikana kuwa ni ndege ya civil,ile tweet wakaifuta.Wametungua bila kujua kuwa ni ndege ya abiri
a.Wajanja walishaikopy tweets!


Washawaua watu wao wenyewe mana hao raua wa malayshia ni 12 wao wanafika 20 na kitu
 
Washawaua watu wao wenyewe mana hao raua wa malayshia ni 12 wao wanafika 20 na kitu
Ndo hapo sasa,haya mashirika yote ya ndege za abiria bora yazuie ndege zao kupita anga la eastern Ukrain,siyo salama huko
 
Back
Top Bottom