Imetunguliwa,Duniani hakuna usalama tena,Warusia au waasi ya Ukraine wameitungua.Mungu atusaidie kwa kweli
mkuu ndege ikianguka tu hata majivu hupati labda ianguke sehemu za wazi kama ni jangwani au baharini hupati kituHatari sana hii...
Kwahiyo inamaana hamna mtu aliyesalimika..
Mkuu haya mambo yanaukweli kiasi gani ?
Dunia tayari imehangaika vya kutosha sana !
Hata ile iliyopotea,aisee hii hatari.Tatizo huwezi jua,Mungu atusaidie kwa kweli.Halafu piga picha ilikuwa inatokea Amsterdm watu wanapounganishia ndege,na hiki kipindi cha likizo.Tusubiri watoe majina tujue uraia wa Marehemu.Good question...tutaanza kupanda meli sasa te te te...
Njia nyingine salama ni ku avoid ndege za nchi zenye international conflicts...
Kwa sababu sidhani kama walitungua kwa makosa...kuna kitu Malaysia....
Hatupiti kuko Bwana,ila usalama hakuna,kama vile vita ya tatu ya dunia inanukia
Hii ni nyingine mkuu,ndege hii imetunguliwa leo mchana.wengine waliotabiri eti imeanguka indian ocean!
Dah too painful yaani mtu unasafiri ukijua unafika uendapo kumbe ndo mwisho wa safari yako.
Eeeh Mungu inusuru dunia