Malaysia Airlines passenger jet reportedly shot down in Ukraine

Malaysia Airlines passenger jet reportedly shot down in Ukraine

Kuna uwezekano pilot alizima radar detection system kwenye ndege na akawa anairusha chini chini sana , maybe aipoteze kama ile ya kwanza na jamaa walipoona hawaisomi na hai respond kwao basi wakaamua kuishusha tu.

Pia tukumbuke hawa jamaa wanapigana na hii ndege imeangukia mpakani mwa Russia na Ukrain.
Hivi kwa sisi tunosafiri let say kutokea Amsterdam kwenda Tanzania,tunapita anga la ukrain na Russia?
 
Imetunguliwa,Duniani hakuna usalama tena,Warusia au waasi ya Ukraine wameitungua.Mungu atusaidie kwa kweli
Unajua siku hizi ma terorist hutumia ndege ama silaha.

Inawezekana ndege ilikuwa na dalili zote za kutekwa na ilikuwa inaelekezwa sehemu ambayo kama ingefika basi ingekuwa disaster na kuwafanya walioitungua waitungue ili kuepusha makubwa zaidi.

Kumbuka Urusi ina pigana na watu wanaiitwa Wa chechnia ambao wanajulikana kwa msimamo wao, hivyo lolote lawezekana, bila kusahau accidental frendly fire

Kumbuka ndege haitunguliwi na manati...
 
Ndege ya malaysia MH 17 imeanguka mdaa huu juu ya anga la UKRAINE ikiwa na watu 295.
 
Mwenyenzi Mungu mwingi wa Rehema na aturehemu! Haya majanga ni mpaka lini jamani!
 
Malaysia Airlines says it has lost contact with MH17 flight from Amsterdam over Ukrainian airspace with hundreds on board - mas https://twitter.com/MAS/status/489795857101750272

Ni noma kweli, anga hii na usafiri wa malaysia airways ........
 
Last edited by a moderator:
489807310706200576
 
Heri hiyo ndege imeanguka kuliko iliyopotea March 8,2014
 
Waziri wa mambo ya ndani wa UKRAINE amesema ndege imetunguliwa ila hajasema kina nani wanahusika.
 
Mbona hatari jamani. Ni huyo anahujumu sjirika hili?
 
Mkuu haya mambo yanaukweli kiasi gani ?
Dunia tayari imehangaika vya kutosha sana !
 
Malaysia Airlines flight MH370 disappeared on 8 March 2014 carrying 227 passengers and 12 crew. The Boeing 777 had left Kuala Lumpur at 00.41 for Beijing Airport but lost contact which air traffic controllers at around 01.22am as it crossed the South China Sea.
 
Back
Top Bottom