Malaysia Airlines passenger jet reportedly shot down in Ukraine

Malaysia Airlines passenger jet reportedly shot down in Ukraine

Travel map
 

Attachments

  • 1405658827707.jpg
    1405658827707.jpg
    67.3 KB · Views: 172
Yaani ni huzuni, hebu fikiriq fastjet inavyobeba watu leo itunguliwe tu from nowhere, inahuzunisha sana, Mungu tusamehe pale tulipokwenda kinyume na mapenzi yako ili dunia iwe sehemu salama ya kuishi kama ulivyotupa tangu mwanzo

Yaani hii kwa kweli ni mbaya sana
 
Sasa ndio EuroControl wamefunga eneo la Eastern Ukraine na halitatumika kupitisha ndege tena,
Naangalia hapa inasemekana wenye hizi BUK SAM ni Ukraine na Russia.
Ukraine hawakurusha, Russia wamekataaa, Rebels wamekataaa pia
 
Mmmh usaini kila kona mara imepotea kipindi hiki imetunguliwa,haya.....
 
Abiria ni 280, Cabin Crew 15.

Mi nadhani hawa jamaa kuna mambo mabaya sana wanayafanya hapa ulimwenguni, kama walivyotufanyia kwenye IPTL kwa ushirikiano na Mkware.
 
Mbona hamuongelei wpalestina 250 waliouliwa gaza mnaona tuhao wazungu vita ni vita mura viyahaina macho
 
cheki hizi ndege zilivofanana kuna uwezekano ukrane walijua ni ndege ya rais wa urusi, na inasemekana ndege hiyo ya putini ilipita kabla ya hii ya malaysia
Wx9IARQ.jpg
 
Mh hii naya naona kama inaingia akilini wacha tuendelee kusikia



cheki hizi ndege zilivofanana kuna uwezekano ukrane walijua ni ndege ya rais wa urusi, na inasemekana ndege hiyo ya putini ilipita kabla ya hii ya malaysia
Wx9IARQ.jpg
 
Kuna uwezekano pilot alizima radar detection system kwenye ndege na akawa anairusha chini chini sana , maybe aipoteze kama ile ya kwanza na jamaa walipoona hawaisomi na hai respond kwao basi wakaamua kuishusha tu.

Pia tukumbuke hawa jamaa wanapigana na hii ndege imeangukia mpakani mwa Russia na Ukrain.

Inawezekana hata ile ya kwanza imeshushwa mahala
 
Wa Dutch walikuwa wanaenda holiday hao...next time waje kwetu; hakuna kupita Ukraine sijuhi Russia...
 
Back
Top Bottom