Gambamala
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 1,045
- 766
Hao waliotungua ni wakristo wenzao haoo.
Huwez kuskia wakiitwa magaidi.
Sijui hii definition ugaidi ina mantiki gani hasa.
Wakiona uchungu wa kuuwa wasio na hatia basi wajue ni kweli inaumiza.
Na waache kumwaga damu huko gaza.
Laana hiyo inawapata.
Ugaidi ni kuua watu wasio na hatia kwa makusudi bila kujali dini. Mara nyingi gaidi huwa anaua watu wasio na hatia kwa kulipa kisasi kwa serikali au vinginevyo. Gaidi badala ya kupambana na jeshi yeye huwa anaua raia yeyote vile bila kujali. Mfano Al shaabab badala ya kupigana na majeshi ya Kenya wao wanaua raia westgate. Boko haram badala ya kupambana na Jeshi wao wanaua watu hata wakiwa sikoni, huo ndio ugaidi.