nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,398
Na rebel wameshakabidhi black box kwa Malaysian Authority...mwanga lazima ajulikane mwaka huu...
Sasa bado tu mnailaumu Malaysian Airlines?
Ilaumiwe isilaumiwe hilo shirika limeshakuwa na gundu...ndio maana mwandishi anasema liko likely kuwa bankrupt...
Hivi wewe unaweza kupanda hizo ndege tena...
Mimi naona Ukraine aliona Malaysian Airline inafaa kutimiza lengo lake kwa kuwa tayari ilishatenda mahajabu....(ya ndege kupotea)...hiyo ilikuwa calculated...
Sidhani litafilisika
Ndiyo. Kwani ajali hutokea kwenye hilo shirika tu? Air France ajali huwa hazitokei? Kenya Airways ajali huwa hazitokei? Ethiopian ajali huwa hazitokei? Egypt Air huwa hazitokei? Asiana ajali huwa hazitokei?
Unaweza kupanda El Al, Delta, Qantas na ndege ikapata ajali vilevile. Imetokea tu kumekuwepo na matukio yanayohusisha ndege mbili za Malaysia Airlines (huku tukio la kwanza tukiwa hata hatujui nini kilichotokea na hili tukio la pili ambapo kwa uhakika kabisa halikuwa kosa la Malaysia Airlines) lakini hiyo haimaanishi kwamba ukipanda ndege ya hilo shirika basi utapatwa na umauti.
Sasa kama wewe hivyo ndivyo unavyoona, bado tu utaendelea kuilamumu Malaysian Airlines? Kosa hapo ni la Malaysian Airlines au la Ukraine?
Kosa ni la nani ni one thing; kupanda au kutokupanda hiyo ndege ni another...kwani nikipanda ntakuwa nimemkomoa Ukraine au maisha yangu?
Tatizo ni kuwa hii incidence imekumbusha watu kitu walichojaribu kusahau...ndege ilopotea?
Bora hii imetunguliwa kila mtu anajua hilo...ile ilopotea imeenda wapi?
why Malaysian Airline...je kuna ndege nyingine imeshawahi potea?
Shirika hili already linaenda kwa Hasara...wameshusha mno bei but still no faida kuna mtu mmoja alihojiwa alisema 'my mom wont let me board their plane'nilicheka sana
Kumkomoa Ukraine na kupanda ndege ya Malaysian Airlines vinahusiana kivipi?
Hiyo ni kweli. Na kwa mtazamo wangu ni sadfa tu na wala si kwamba Malaysian Airlines sijui ina gundu au whatever.....
Hiyo iliyopotea hakuna anayejua kilichoisibu. Na for all we know, huenda tatizo likawa ni la manufacturer na si operator wa aircraft. Huenda hizo Boeing 777 zina matatizo ambayo bado hayajajulikana.....Hivyo, mpaka itakapopatikana tutaendelea ku-speculate tu.
Zipo ndege ambazo zimeshapotea na hazijawahi kupatikana. Bofya hiyo link hapo chini uone....
Flight MH370: Here are 7 other planes that have never been found
There was a bit of finger pointing after the crash of flightM17 over Ukrainian space killing 298 people. To date the question who shot the plane is still unanswered. Thanks to bloggers , the evidence points top an obvious culprit. Who's that? Read on East Africa Economic Report: Who shot down MH17? Russia or Ukraine?
Just curiosity: Why country A should shoot down a plane flying from country B to C on the territory of D? Just for fun? When the whole world is against you? Sounds bullshit to me.Kuna taarifa jana BBC wanasema Marekani ametoa Michoro inayoonyesha moshi wa mlipuko ukitoka Russia ambao ndio unasadikiwa kuwa ilikua mwisho wa flight hio